Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

Kutokana na mfano wako uliotoa, naona kama hujanielewa ndg yangu MAMMAMIA. Ninachojaribu kusema hapa ni kwamba kuishawishi jamii ijue kuwa FGM ina madhara ni rahisi zaidi kuliko kuishawishi jamii hiyo hiyo iamini kuwa wasichana wanaenda disco, bar, club n.k si wahuni. Kwahiyo kwa kuzingatia hili, ndo maana nashauri hivi kwa msichana/mwanamke anayetaka kuolewa ni vizuri asifanye kile ambacho sehemu kubwa ya jamii inaamini ni kibaya. This is my major argument!
Kwa maelezo haya sasa nimekufahamu mito.
 
Last edited by a moderator:
Du ! Binafsi nikimkuta dada yangu club sijisikii amani sababu najua club ina mazingira hatarisha , tena sana tu.
Nikisikia gf wangu ameenda club na kampani isiyoeleweka , nami siwezi kumuelewa sababu najua nini kinaweza kutokea
club.
Hivi vile vishawishi vyote vya ngono vilivyopo club , halafu tuendelee kuona ni sehemu salama , lets be serious jamani sote tunajua nini mara nyingi kinatokea after party
 
Husika na hiyo heading, hilo ni swali kaniuliza rafiki yangu (mdada) nimpe ushauri na mtazamo wangu kuhusu hilo suala....
Anasema kwua yeye akijisikia kutoka out huwa anawatafuta washkaji zake wanatoka out, wanapiga story, wanakunywa pombe then anarudi zake home kwake..... au kama ni w-end anawatafuta wanakwenda club baadaye wanamrudisha home kwake...

Sasa kaniuliza mimi kama rafiki yake nina mtazamo gani juu ya hiyo tabia yake? kabla sijamjibu naomba mtazamo / ushauri juu ya hili..........

Kimahusiano yeye hana mahusiano ya kudumu ana b/f wake ambaye huwa wanatafutana wakiwa na naniliu tu baada ya hapo kila mtu ana hamsini zake, sababu ya yeye kufanya hivo ni kutokana na kutendwa ma aliyekuwa mchumba wake ambaye alimuacha wakati keshamtambulisha na kumpeleka kwao (kwao kijana) sababu sijui hajanambia mpaka leo.

KWENDA bar au KWENDA kilabuni ni uhuni au la, hilo sijui. Coz neno MHUNI laweza kuwa na maana zaidi ya moja. Wengine humwita bachelor kuwa mhuni, and so on, and so forth. Tunachoweza kuangalia ni je, sheria ya nchi inaruhusu, au inazuia KWENDA bar au vilabuni? Au je, Maandiko Matakatifu (ambayo ni sauti ya Yehova Mungu) yanasemaje kuhusu maelezo ya mleta mada, kwamba pale kilabuni au mle ndani ya bar watu wanamtukuza Yehova? i.e. matendo yao yanaonesha kwamba they are created in the image of God?
 
Back
Top Bottom