CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #61
Yeh ni uhuni
ni uhuni kivipi. je bar na club iliwekwa kwa ajili ya wahuni tu?????????
Yeh ni uhuni
Nimeongelea pia unfluence ya marafiki..........ina nafasi kubwa sana ya kubadili stand ya mtuAsante kwa ushauri, ila ukisoma katika thread yangu utaona kuwa huwa anatoka na marafiki, schoolmates, workmates na co pekeyake. na hao marafiki zake humtreat kwa jinsi alivyo... co kimapenzi!
ni uhuni kivipi. je bar na club iliwekwa kwa ajili ya wahuni tu?????????
Charminglady,siku zote jamii inapotoa mtazamo juu ya mtu au jambo flani huangalia asilimia,kwenye suala la baamedi si wote wanatabia ile tuijuayo(wauza..) ila asilimia kubwa wanafanya hivyo! ndio maana ukimwambia mtu unataka kuoa baamed lazima mshangao wa haili ya juu uwepo kwa sababu ya kile jamii inachokifahamu juu yao!The Boss kwa mimi bianfsi cwezi kureact kwani nina mfano hai 1 kuna mkaka alioa baamedi na sasa ni wanandoa wazuri tu lakini leo hii ukimwambia mtu kuwa unaoa baamed atakujia juu kama moto wa kifuu.... kinachoamata ni tabia ya mtu binafsi na sio mahali mlipokutania...... mnaweza kukutana kanisani lakini akawa na tabia mbaya kuliko hata machangudoa!
.Wakati nasoma kichwa cha habari kuhusu hii thread...swali langu la kwanza nililotaka kuuliza ni hilo "uhuni ni kitu gani?"
You want me to define it as a noun or an adjective?
hakuwa na tabia hiyo, bali alianza kwenda bar/club baaba ya kuwa ameachwa..........
Umnase kibao imekuhusu na kitu gani?
Kosa lake ni lipi hata alitambue akinaswa kibao? Sana sana angetambua kosa lako wewe la kuingilia uhuru wake binafsi
Yaonyesha na wewe ni walewale manaochart kwenye fb, wakati mko kanisani, unaenda kanisani kusali kuchart na cm, unashindwa kumpa Mungu wako japo saa mbili za kumuabudu unakalia kuchart na cm? Umefuata nini kanisani, siungebaki nyumbani kwako ukachart vzr
ndo pale kua ni tafsiri za jamii kua ni uhuni kwenda clab ni uhuni.kujibu swali la thread
hivi kaka yako akija kukwambia amepata mchumba alipoenda club/bar
uta react vipi?