Hivi kweli Watanzania tuko sawa? Miaka 50 na ya Uhuru bado hatujui tunakokwenda!

Mahweso

JF-Expert Member
Jan 10, 2014
1,098
1,501
Hivi kweli bado tunatafuta Njia ya kututoa hapa tulipo kweli?
Katiba hatuielewi,
Sheria hazieleweki, tunatunga hii tunaacha, tunatunga nyingine tunaacha hivi wasomi wetu hamuoni?
Nchi ya Kilimo na Ufugaji, mara Viwanda, mara Utalii,
Hivi hatuwezi kutengeneza kitu cha kutujulisha Sisi kama sisi Dunua nzima ijue, ukitaja Tanzania Umetaja hiki yaani wajue hata ukionekana Nchi fulani ukajitambulisha wewe ni mtanzania wajue kwao hawa si wanafanya hiki? yaani tuwe na alama ya Nchi.
 
Kama tunaweza ongozwa na mtu aliyesema alikuwa anabeep simu ikapokelewa, basi kuna tatizo kubwa sana la msingi!
 
We mwachie dereva wa lori anajua njia ebu shika hii buku ninunulie azam kola apo si uko karibu na dirisha

Enjoy the journey
 
Kama tunaweza ongozwa na mtu aliyesema alikuwa anabeep simu ikapokelewa, basi kuna tatizo kubwa sana la msingi!
Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, kweli Mkubwa hapa kuna shida, Magu alisema alikuwa anajaribu tu. kweli tatizo lipo
 
Dhahabu itaisha kabla ya 2020, viwanda hatuna, tutabaki kuwa taifa la kilimo kama enzi za mababu.
 
We mwachie dereva wa lori anajua njia ebu shika hii buku ninunulie azam kola apo si uko karibu na dirisha

Enjoy the journey
Sawa, Mwenye Reseni ni yeye, mwache aendeshe Lori lake
 
  • Thanks
Reactions: 314
Dhahabu itaisha kabla ya 2020, viwanda hatuna, tutabaki kuwa taifa la kilimo kama enzi za mababu.

Wewe unasifika kwa Kilimo gani, Tunafukuafukua tu nani kakwambia tunalima? hayo maneno tu na ndio maana nikasema hatuelewi tunatakiwa tufanye nini, yaani Dunia itujue Watanzania ni nini?
 
Bora tujitangaze kwenye sekta ya kuuza rasilimali zetu bure ndo naona tulikobobea. Sijui hawa viongozi wetu wanajisikiaje wanapoenda nchi za wengine.
 
Back
Top Bottom