kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Miaka takribani 6 iliyopita, kuna dada moja mtu mzima kidogo alinieleza. Mdogo wangu, chonde chonde usije oa mwanamke ambaye nywele zake zimeshuka sana kuja chini katika kipaji cha uso wake. Sababu uwezo wao wa akili uwa ni mdogo sana, wapo kama mazumbukuku.
Sasa kuna nesi moja amemtuma dada moja amemwambia ana ni feel. Baada ya kumuona nikagundua ni dizaini ya wale wanawake nilio elezwa na yule dada.
Sasa naweza kuingia katika mahusiano naye na kama ni kweli si nitakuwa nimempotezea muda.
Labda nyinyi ma greater thinkers katika sehemu mlipo kuna wanawake dizaini hii mtujuze kama kuna ka ukweli ni chape lapa mapema.
Sasa kuna nesi moja amemtuma dada moja amemwambia ana ni feel. Baada ya kumuona nikagundua ni dizaini ya wale wanawake nilio elezwa na yule dada.
Sasa naweza kuingia katika mahusiano naye na kama ni kweli si nitakuwa nimempotezea muda.
Labda nyinyi ma greater thinkers katika sehemu mlipo kuna wanawake dizaini hii mtujuze kama kuna ka ukweli ni chape lapa mapema.