michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,208
- 3,636
Hebu weka picha
Utauwa watu kwa mfadhaiko mkuuKuuziwa ‘kichupa’ cha mafuta ya nyonyo (castor oil) kwa 13k kwanza ni kupigwa, pili inabidi ujue tofauti kati ya upara na uwalaza.... kati yake moja ni ugonjwa wa akili na nyingine ni ulemavu.
Kwa kesi yako inaangukia kundi la kwanza, huyo mama kakuona fursa acha aendelee kukupiga.... nchi hii tuna wajinga wengi mno.
BTW: Kuna kipindi mikoa fulani mlianza kusakwa muuawe ili watu waovu watajirike, vipi ndo ulikimbilia Buguruni au ilikuwa uvumi tu..?
Mkuu mvi hazitibiki Ila kipara dawa zipo miaka kibao!Kipara Na Mvi Hakuna dawa Ni Mwendo Wa Viparaa raaa na kuweka dawa kwa Mwenye Mvi.
Kuuziwa ‘kichupa’ cha mafuta ya nyonyo (castor oil) kwa 13k kwanza ni kupigwa, pili inabidi ujue tofauti kati ya upara na uwalaza.... kati yake moja ni ugonjwa wa akili na nyingine ni ulemavu.
Kwa kesi yako inaangukia kundi la kwanza, huyo mama kakuona fursa acha aendelee kukupiga.... nchi hii tuna wajinga wengi mno.
BTW: Kuna kipindi mikoa fulani mlianza kusakwa muuawe ili watu waovu watajirike, vipi ndo ulikimbilia Buguruni au ilikuwa uvumi tu..?
Nitajie hiyo dawa mkuuMkuu mvi hazitibiki Ila kipara dawa zipo miaka kibao!
Kocha Wa Inter Milan Conte Anavaa Mkuu
Mkuu umesoma kisha huna kazi nini?! Ndo zenu kuchunguza L na R au kuhesabu hatua wakati wa kutembeaMkuu umepata kipara kwa sababu hujui tofauti ya R na L. Huko shule ulienda kusomea ujinga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee yule bi mkubwa aligonga Ikulu lazima ukaePanga Makalikuwili, Mkuu Panga, upo Mjini lakini nahisi kama umeingizwa 'Mjini'! Pole Mkuuu!
Sent using Jamii Forums mobile app