Fabian the Jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 756
- 737
Mi nafikiri kama kuna watu ambao wanasimama na kupinga kile alichokisema huyu mama basi ni kielelezo tosha kuthibitisha kwamba tanzania ndio nchi ya mwisho kuwa na watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiria duniani, IQ ndogo zaidi duniani.
Jamani watanzania tunataka nini? Ni nani ataweza kunijibu hili swali? Tunajua tunachokitaka kweli? Kipindi cha Kikwete ni sisi ambao tulikuwa tunalaumu kila kukicha, oooh elimu imeshuka thamani, oooh siku hizi degree kitu gani, oooh form six kitu gani, oooh serikali imeshusha thamani ya elimu.
Hebu tujiulize ni nini ambacho serikali hii imekikosea?
Ni kweli mfumo wetu wa elimu ulikuwa ushakuwa mbovu, na sisi tuliufuata vile vile tukasoma izo foundation course, tukasoma degree kwa shortcut, sasaivi jamaa amakuja anarekebisha tunaona anatugusa so tunaona anakosea. Hatuwezi kuendelea kwa namna hii. Mama anaweka msingi tu wa kuboresha elimu yetu, kuinua thamani ya elimu yetu lakini ona sasa watu wanasimama na kuanza kupinga.
Kwani Mama ndalichako anafanya hayo kwa ajili ya nani? Anasema mtu wa degree siku izi akivaa joho hata haina radha tena maana hata mtoto wa awali akimaliza anavaa joho watu wanasimama wanapinga. Tukiambiwa sisi ni vilaza wa mwisho duniani tunakataa.
Kwa ujinga huu hatufiki popote.
Jamani watanzania tunataka nini? Ni nani ataweza kunijibu hili swali? Tunajua tunachokitaka kweli? Kipindi cha Kikwete ni sisi ambao tulikuwa tunalaumu kila kukicha, oooh elimu imeshuka thamani, oooh siku hizi degree kitu gani, oooh form six kitu gani, oooh serikali imeshusha thamani ya elimu.
Hebu tujiulize ni nini ambacho serikali hii imekikosea?
Ni kweli mfumo wetu wa elimu ulikuwa ushakuwa mbovu, na sisi tuliufuata vile vile tukasoma izo foundation course, tukasoma degree kwa shortcut, sasaivi jamaa amakuja anarekebisha tunaona anatugusa so tunaona anakosea. Hatuwezi kuendelea kwa namna hii. Mama anaweka msingi tu wa kuboresha elimu yetu, kuinua thamani ya elimu yetu lakini ona sasa watu wanasimama na kuanza kupinga.
Kwani Mama ndalichako anafanya hayo kwa ajili ya nani? Anasema mtu wa degree siku izi akivaa joho hata haina radha tena maana hata mtoto wa awali akimaliza anavaa joho watu wanasimama wanapinga. Tukiambiwa sisi ni vilaza wa mwisho duniani tunakataa.
Kwa ujinga huu hatufiki popote.