Aliaanzisha mzee wa ruksa, kwa kuwapa ardhi falme za kiarabu wakati wakijua kuna wazawa wafugaji wanaishi humo,
Naona sasa watawala wanaofuata wanarmendekeza kichezo ya kisheatani dhidi ya watanzania maskini.
Jambo la msingi ni viongozi waliopo madarakani kutambua kuwa hakuna garantee ya sisi kuishi hapa duniani.
"We will all pass away" wakumbuke kuweka hazina kwa maisha baada ya kifo (hii ni kwa waamini wa maisha baasa ya kifo)
Sasa wakiwatoa nyie si huwa mnawatetea kwa kusema hiyo mikataba waliyoiingia wanaigeuka.....ni bora waendelee kuwatetea mabeberu maana wanapata hata 10% kulikoni kuwatetea manyumbu ambao mwisho wa siku wanatusi kutwa nzima kwenye mtandano wakati ni wao wakitetewa.......
Mean nadhani kama taifa tungefanya maandamano ya kupinga canada kufilisi mali ya tanzania (Bombardier Q-400) then raisi angepata hata kichwa na mzuka wa kuongeza mbwembwe na misifa ya kufuta mikataba mingine ambayo inatunyonya.....
Sasa taifa mnasimama na hao wanyonyaji mnategemea raisi atajishauwa tena......kilichobakia ni kuwaunga mkono tu nyie pigeni kelele yeye anakaushaw
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.