logic yako nini ebu fafanua vizuri ujaeleweka
Pamoja na kwamba watanzania wanataka mabadiliko lakini kwa sasa mi naona Lowasa wa 2015 hana sifa ya kuwa Rais ukimwacha Dr Slaa ni bora hata angesimama kati ya halima mdee, John Mnyika, tundu lisu,Msigwa na wengine waliokipigania lakini sio Lowasa.
Pamoja na kwamba watanzania wanataka mabadiliko lakini kwa sasa mi naona Lowasa wa 2015 hana sifa ya kuwa Rais ukimwacha Dr Slaa ni bora hata angesimama kati ya halima mdee, John Mnyika, tundu lisu,Msigwa na wengine waliokipigania lakini sio Lowasa.
Moderator unganisheni huu uzi na nyezie.
Walishanunuliwa
kwani naenda kubeba zege huko ikulu?Pamoja na kwamba watanzania wanataka mabadiliko lakini kwa sasa mi naona Lowasa wa 2015 hana sifa ya kuwa Rais ukimwacha Dr Slaa ni bora hata angesimama kati ya halima mdee, John Mnyika, tundu lisu,Msigwa na wengine waliokipigania lakini sio Lowasa.