Yupo lakini ni kama HAYUPO vile!!Tumekuwa tukisumbuliwa na tatizo la mafuta kwa wiki mja lakini rais atoi ata kauli kweli tunakiongozi au?
NIlisikia kama vile Babu Mwasapile na ujumbe wake wanapata futari kwa babu leo...Nadhani hapo patakufaa kujichomeka!we muache mkulu apumzike na swaumu, msimusumbue!
....hivi loe ni kundi gani litakuwa Magogoni kufuturu vile!? nataka niungane nalo maana sijawahi kuingia pale
Yupo lakini ni kama HAYUPO vile!!
Anaendelea kutalii dunia na kumuenzi Vasco Dagama!![/QUOTE]
huyu ni Vasco Da Gama MWITU hana tofauti na chifu MANGUNGO
<br /><font size="3"><span style="font-family: times new roman">we muache mkulu apumzike na swaumu, msimusumbue!<br />
....hivi loe ni kundi gani litakuwa Magogoni kufuturu vile!? nataka niungane nalo maana sijawahi kuingia pale</span></font>