Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,921
- 31,973
Walikuwa wanataga. Wanakula nyama, wanapaa angani na wanatema moto.AFAIK hamna ushahidi kwamba ni kweli yupo au aliwahi kuwepo.
Hivi kwa sifa zake anaonekana kama "reptilia"? Sio mammalia?
Sawa kwani kila kiumbe kina Atoms kwenye miili yao, na ndani ya atoms Kuna Election, Pruton na Neutrons.. Kuna baadhi ya wanyama Kama huyu samaki electric eel anauwezo wa kucontrol sensitivity ya electrons zake, Hadi kuproduce volts 600 kwa ajili ya defense mechanism, hii yote kibiological proved, lakini sio Moto... Hata huyo samaki anaye generate umeme ukimweka kwenye Moto anakufa.Kama kuna samaki anaumeme itashindikana nini kwa dragons
Anauwezo wa kutoa acid, hio still ni biological lakini sio Moto, kitu kingine bhanaUkiweza kuyaona maajabu ya Bomberdier Beetle huwezi kushangaa kiumbe cha Mungu kutema Moto
Angalia video mpaka mwishoAnauwezo wa kutoa acid, hio still ni biological lakini sio Moto, kitu kingine bhana
Kama movie gani na mimi niangalie?Walikuwa wanataga. Wanakula nyama, wanapaa angani na wanatema moto.
Hakuna hata ushahidi wa mabaki ya mifupa.
Hizi hadithi twaweza sema ni hisia na uzushi wa watu.🚮
Ila movie zake huwa nazipenda.
Nyingi sana movie zihusuzo dragon mpaka nimezisahau. Hata game of throne pia, Hobbit.Kama movie gani na mimi niangalie?
Mimi nimeangalia tu Merlin.
Tunakuja🏃
Unachanganya Mammals na AnimaliaHamna mammalia wapo wanataga Regent?
Nyingi sana Angelia Aragon.Kama movie gani na mimi niangalie?
Mimi nimeangalia tu Merlin.
asee! mkuu ebu naomba muongozo apo mammals na animalia wanakuwa na utofauti ganiUnachanganya Mammals na Animalia
Unataka kuandika Itaendelea ila umeamua useme utakujaYai la kwanza la Dragon lilipatikana Argentina dragon aliyezaliwa aliitwa Alagon.
nitakuja weka story yote na walivyopotea