Bossprota
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 324
- 333
Kumbe wabongo wapooo sema hatuaminiani tuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wabongo wapooo sema hatuaminiani tuuu
Fact... Hasa hapo kwenye WWIII..... haitakuwa ya mabomu na marisasi!!..Japo wapo ila sio sana hata mazingira haiwasapoti kivile tunahitaji jitihada zaidi has a ukizingatia kila kitu ni technology, wenzetu wako mbali yaani unakuta dogo mdogo tayari ni software engineer,web developet,app developer na hacker mzuri tu.
Kama unamtoto wako anza kumnoa fresh demand ya hawa watu inahitajika sana hasa kwenye military, political and industrial espionage etc.
I hope WWWIII Itategemea sana IT
Hapa nachangia bila kuweka utaifa wala nini, mimi Mkenya hapa ila nimefanya miradi ya kutengeneza systems Tanzania na kwa ushirikiano wa wataalam wa Kitanzania. Nilichokiona Tanzania, na pia kipo kwa baadhi ya Wakenya huku ni kwamba wateja wa Tanzania hawadhamini kabisa wataalam wao. Unakuta mtu yuko radhi kulipa mhindi dollars za kiajabu ila ikitokea hiyo hiyo kazi inapewa Mtanzania, anashusha bei balaa kishenzi.
Nililiona sana hilo, kwamba mnapo andaa proposal ya kuomba mradi halafu humo kwenye majina ya timu mnayokusudia kuwahusisha kufanya hiyo kazi mtaje wazungu na wageni wengine na muorodheshe sifa zao za shahada ya uzamili/masters yaani mnasklizwa faster, ila mradi unaweza ukaishia kufanywa na vijana wazawa maana wale wazungu watakuja na kuboronga, wanapiga piga kwa kasi na kujiondokea kwa ubabaishaji mwingi, mnabaki mkihangaika.
Kunao wageni tuligombana nao na sikuwalipa hela yote, ilbidi mradi tuutekeleze wenyewe from scratch.
Mkiwa na desturi ya kudhamini wataalam wenu, na kuwalipa vizuri mbona watajituma tu, hamna kikubwa kwenye IT, cha msingi ni kukeshehea haya mavitu na kujifunza kila siku, lakini kama unalipa hela kiduchu, nitakuja na kutupiamo frameworks kama Yii au Laravel na kujiondokea bila kujali full system design and architecture.
Si kwei mfumo wa malipo wa serikali umeundwa na vijana wa kitanzania na ni waajiriwa wa hazinaNikili kuwa mimi ni mkeleketwa ama mdau mkubwa sana wa IT na teknolojia kwa ujumla
Leo nimekabiliana na mdau mmoja akikandia sana tasnia hii hasa hapa nchini kwa madai kuwa hakuna wataalamu na mifumo mingi hata ya serikali kama vile ule wa malipo umeundwa na wazungu je ni kweli? Kama ipo mifumo iliyoundwa na watanzania ni ipi hiyo na ni akina nani hao walioiunda
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu mna hali mbaya!!!
Hali mbaya ya nini??Kuna watu mna hali mbaya!!!
Wakimkamata kigogo ndo bongo itakuwa na watalaam wa IT?Hali mbaya ya nini??
Wapo kwakweli,na ukiwa chuo ndo utashangaa systems wanazotengeza sa tukija mtaani cjui shida inakuaga nnKumbe wabongo wapooo sema hatuaminiani tuuu
Nawe ni mtaalamu wa IT pia?Wapo kwakweli,na ukiwa chuo ndo utashangaa systems wanazotengeza sa tukija mtaani cjui shida inakuaga nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana kwa uthubutu dada
Nais chuon n kwasababu ya teamwork mtaaan wanakuwa individual lakn wangekuwa n kwateeamwork wanafanya makubwaWapo kwakweli,na ukiwa chuo ndo utashangaa systems wanazotengeza sa tukija mtaani cjui shida inakuaga nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, inawezekana Ni sababu piaNais chuon n kwasababu ya teamwork mtaaan wanakuwa individual lakn wangekuwa n kwateeamwork wanafanya makubwa