Ni kweli mashine kubwa. Angekuwa mashine ndogo vikao vya chama vingemzuia kuuza chama. One man show ya kuuza chama inaweza kufanywa na mashine kubwa tu...
Mbona ccm imebinafsishwa kwa baba Riz...?? Bado hamjastuka hahahaaa kweli bongo lala..
Ni kweli mashine kubwa. Angekuwa mashine ndogo vikao vya chama vingemzuia kuuza chama. One man show ya kuuza chama inaweza kufanywa na mashine kubwa tu...
ujuha sana. wakisema wajenge stiegler's gorge muhongo anasema water budget blah blah. utafikiri sisi ni wa kwanza kutumia hydropower. kwenye nchi za baridi kipindi cha baridi hujaza maji kwenye mabwawa na kiangazi huzalisha umeme kwa wingi. sasa toka makete hadi rufiji kuna mabwawa matatu halafu utegemee uwe na maji ya kutosha wakati yote yanaenda baharini. FA0 walitafiti na kusema kungeweza kuwa na mabwawa 21. wanafanya kupungua kwa maji kama vile ni janga lisiloshindika.BBC wapo wanatudhihaki huko kwamba baada ya miaka 54 ya uhuru nchi badala ya kuprogress sasa inaregress. Sasa tunazima officially mitambo ya kuzalisha umeme. Kisa!? Maji yameisha bwawani.
Yaani katika nchi ambapo mvua inanyesha kwa miezi 7 (mvua kubwa tu kiasi cha kuvunja madaraja na kusomba reli zetu) ni ujuha kukiri kwamba tumezima umeme kwa "uhaba wa mvua"
Wanabodi, zikiwa zimabaki siku 14 tufanye uchaguzi wetu, naomba kuuliza, hivi kweli kuna Mtanzania, mwenye akili zake timamu, anayefahamu maana halisi ya maendeleo, tangu tulipopata uhuru, tulikuwa na rasilimali gani, tungepaswa kuwa wapi, na kulinganisha na hapa tulipo sasa, halafu ukaelezwa sababu ya sisi Tanzania kuwa hapa tulipo, ni CCM, then hivi kuna Mtanzania kweli, mwenye akili zake timamu, bado ataichagua CCM?!.
Acha hizo ina maana chadema inaendeshwa na mbowe tu! Chadema ni taasisi siyo familia,maamuzi yanatokana na vikao,kauli yako ina maanisha kwamba bila mbowe chadema haita perform! Rekebisha kauli yako
Hukuiona ile picha ya vijana wanafagia barabara na kupiga deki ili Lowassa apite kule Tarime? Mbona unaanza kujibaraguza. Ukombozi hautaletwa na mabwanyenye.
Wakati Mwingine Inabidi Usome Mabandiko Ya Pasco Kisha Kaa Chini na UtafakariPasco Amekuwa kenge katika Kundi la Mamba Anayetaka Kujibadilisha ili Naye Aonekane kama Mamba.Dizaini Ya Uandishi wa Pasco nikutaka Kusifia,kupotosha na kuwachagulia wananchi Rais.Licha Ya Mapungufu Ya Ccm Lakini Kuna Mengi Yamefanywa na Kamwe Hilo Huwezi Kulipinga kwa Uandishi Wa kishabiki Kama Ulivyoandika kwenye bandiko hili.CCM IPO, ITAKUWEPO NA ITAENDELEA KUWEPO. ITACHAGULIWA NA WALE WEnyE AKILI SAHIHI NA WENYE UELEWA MKUBWA KATIKA NCHI HII, WALE WENYE AKILI NDOGO ZA KUKURUPUKA, AKILI ZA KUSHIKIWA ZILIZOJAZWA MIHEMKO NA USHABIKI Wa Kutokujua Nini wanachotaka ndio wataipinga CCM. Time will tell
Hamna cha fasihi wala nini hapo. Ni upuuzi mtupu.Unaelewa maana ya fasihi? Wanasafisha njia apite.
L Lazima
O October
W Wampe
A Atuongoze
S Sifa
A Anazo ✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿
Ukawa na team LOWASA PIIGA KELELEE🔊🔊🔊🔊
Pasco
Unatatzo la akili za kushikiwa, naanza kupata wasiwas na uwezo wako wa kufukiri, nahic unashida au umekuwa na tatzo la kuangalia sana pornographic, na kupoteza uwezo wa kumbukumbu
Hivi unajua kuwa tunachagua rais wa nchi?? Unajua kuwa hatufanyi majaribiao kwenye urais??
Ccm haina mpinzani wa dhati, huenda kweli tumeichoka ila nan mbadala?? Edo?? Unapaswa kupimwa akili kama utamchagua edo, na sabab zipo nyingi ila moja kubwa ni kuwa hao waliotuaminisha kwamba edo fisadi kwa miaka 7, wametumia siku 1 kutuaminisha kuwa edo c fisadi
Halafu na ww ukiwa na akili timama unatuambia tumchague.. ndo maana nikasema huenda huwa unaangalia sana zile pc kiasi kwamba uwezo wako wa kufikili umepungua
Mwisho, ni ushaur kwa pasco na wengine wenye mawazo kama yako rais wa nchi hii hapatikani kama bingo au bahati nasibu, anapatikana kwa mipango na utaratibu,
Hvi huo mchakato wa kumpata mgombea urais wa ukawa ulifuatwa??
Kapimwe akili brother,
Hapa kazi tu..
Huwezi kuelewa kwa kuwa umekurupuka kujibu.nina mashaka na uelewa wako. wewe ni upo ccm kwa sababu ni mnufaika na mfumo uliopo .Lakini mwananchi wa kawaida ambaye amezomesha watoto sita hadi chuo kikuu halafu wote hawana kazi wapo tu nyumbani halafu wanahimizwa wajiajiri wakati hao wanao himiza hivyo watoto wao wanaajiriwa serikalini hawezi kukuelewa ulichoandika hapo hata ukimpigia gitaa.