Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,329
- 6,447
Kwa kiwango gani kweli kaya masikini ichangie kuinua uchumi wa viwanda? Kama kuinuka kwa uchumi wa viwanda unategemea kaya masikini, basi Tanzania ingekuwa na viwanda vya kumwaga. Ila swali la nyongeza, ni viwanda vya aina gani? Je, ni kama hicho kwenye picha?
Source: Mwananchi Communications Ltd
Kaya maskini kuchangia kuinua uchumi wa viwanda
Source: Mwananchi Communications Ltd
Kaya maskini kuchangia kuinua uchumi wa viwanda