Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,215
- 7,906
Hizo tawala zote ulizotaja ilikuwa ni race moja, kamwe dunia haiwezi kuwaliwa na race moja, lazima utaanguka tu. Unapozungumzia Marekani unazungumzia race zote za dunia, makabila na mataifa yote ya dunia, yaani wahaya, wahindi, wachina, wakorea, wasomali, wakerewe, waarabu, waajemi, nk. Kwa kifupi wamarekani ni watu wa makabila yote ya dunia. Yaani kwa lugha nyingine ni akili kutoka Kona zote za dunia zimeungana kutengeneza kitu kimoja. Kwenye jeshi la Marekani kuna hadi wachanga, kwa hiyo usilinganishe kabisa na hizo tawala zingine zilizopita, Marekani ni mkusanyiko wa dunia nzima hakuna mwenyeji pale.Nikukubushe kidogo tu.
Ilikuwa Misiri na civilization ya kutosha, badae akaja muashuru akafata Mbabeloni Tena akaja umedi na uajemi, then Mambo yakarudi ulaya ambabo Ugiriki ilitamba chini ya Alexander the great na badae Roma chini ya mpompei, Mambo yalirudi mashariki ya Kati katika enzi za Ottoman empire. Mkuu ulaya iliendelea Tena hapo mara Uk, mara Ujerumanu chini ya Hitler na mambo yakarudi USA miaka ya 1900s. History never stop, the power will continue to shift from one country to another and from one continent to another. Don't worry mabadiliko huwa pole pole lakini huwa linajitokeza Jambo moja tu ndani ya one year na kila kitu kinabadilikika kabisa.