Hivi kweli hili taifa la Marekani (USA) litakuja kupitia kiuchumi?

Nikukubushe kidogo tu.
Ilikuwa Misiri na civilization ya kutosha, badae akaja muashuru akafata Mbabeloni Tena akaja umedi na uajemi, then Mambo yakarudi ulaya ambabo Ugiriki ilitamba chini ya Alexander the great na badae Roma chini ya mpompei, Mambo yalirudi mashariki ya Kati katika enzi za Ottoman empire. Mkuu ulaya iliendelea Tena hapo mara Uk, mara Ujerumanu chini ya Hitler na mambo yakarudi USA miaka ya 1900s. History never stop, the power will continue to shift from one country to another and from one continent to another. Don't worry mabadiliko huwa pole pole lakini huwa linajitokeza Jambo moja tu ndani ya one year na kila kitu kinabadilikika kabisa.
Hizo tawala zote ulizotaja ilikuwa ni race moja, kamwe dunia haiwezi kuwaliwa na race moja, lazima utaanguka tu. Unapozungumzia Marekani unazungumzia race zote za dunia, makabila na mataifa yote ya dunia, yaani wahaya, wahindi, wachina, wakorea, wasomali, wakerewe, waarabu, waajemi, nk. Kwa kifupi wamarekani ni watu wa makabila yote ya dunia. Yaani kwa lugha nyingine ni akili kutoka Kona zote za dunia zimeungana kutengeneza kitu kimoja. Kwenye jeshi la Marekani kuna hadi wachanga, kwa hiyo usilinganishe kabisa na hizo tawala zingine zilizopita, Marekani ni mkusanyiko wa dunia nzima hakuna mwenyeji pale.
 
Hizo tawala zote ulizotaja ilikuwa ni race moja, kamwe dunia haiwezi kuwaliwa na race moja, lazima utaanguka tu. Unapozungumzia Marekani unazungumzia race zote za dunia, makabila na mataifa yote ya dunia, yaani wahaya, wahindi, wachina, wakorea, wasomali, wakerewe, waarabu, waajemi, nk. Kwa kifupi wamarekani ni watu wa makabila yote ya dunia. Yaani kwa lugha nyingine ni akili kutoka Kona zote za dunia zimeungana kutengeneza kitu kimoja. Kwenye jeshi la Marekani kuna hadi wachanga, kwa hiyo usilinganishe kabisa na hizo tawala zingine zilizopita, Marekani ni mkusanyiko wa dunia nzima hakuna mwenyeji pale.
Kwa hoja yako, Marekani itatawala milile?
 
Unafahamu namna utawala wa roma ulivyokuwa unaogopeka unajua ni wakinani walitoa amri ya masihi[kuuwawa] wakati alikuwa si mroma, unafahamu utawala wa kigiriki , unafahamu Ujerumani lishikiria maeneo kiasia gani , alafu ni ajabu kusema china au urusi akiisika marekani anatetemeka .washindwe kutetemeka Vietnam, Afghanistan,Somalia,Iran,Cuba,Korea kaskazini waje watetemeke magiant China na Russia
usisahau ulimwengu ni pamoja na Asia , Afrika na Amerika , ntajie taifa lililoweza kutawala kote huko ukiacha Uingereza na Ufaransa ambao walitawala karibu nusu ya dunia , mtawala wa dunia kwenye historia ni USA tu
 
Hizo tawala zote ulizotaja ilikuwa ni race moja, kamwe dunia haiwezi kuwaliwa na race moja, lazima utaanguka tu. Unapozungumzia Marekani unazungumzia race zote za dunia, makabila na mataifa yote ya dunia, yaani wahaya, wahindi, wachina, wakorea, wasomali, wakerewe, waarabu, waajemi, nk. Kwa kifupi wamarekani ni watu wa makabila yote ya dunia. Yaani kwa lugha nyingine ni akili kutoka Kona zote za dunia zimeungana kutengeneza kitu kimoja. Kwenye jeshi la Marekani kuna hadi wachanga, kwa hiyo usilinganishe kabisa na hizo tawala zingine zilizopita, Marekani ni mkusanyiko wa dunia nzima hakuna mwenyeji pale.
Kikeshi & ki-anga Mrusi amisha mzidi USA,kiuchumi ndio huko China anaenda kumpiku ni swala la muda atanguka jumla jumla.

Hiyo ya kuwa watu wa race zote kwenda hata ikitokea Tanzania Leo ndio super power kila mmoja atataka kuja, kama ilivyo Dar es Salaam.
 
usisahau ulimwengu ni pamoja na Asia , Afrika na Amerika , ntajie taifa lililoweza kutawala kote huko ukiacha Uingereza na Ufaransa ambao walitawala karibu nusu ya dunia , mtawala wa dunia kwenye historia ni USA tu
USA anaitawala Dunia kupitia hela yake,kitu ambacho Nchi nyingi zinaanza kukataa mfumo huo.
 
Umesema marekani anaimiliki china kupitia makampuni yake yaliyopo china na Mimi nikakuuliza je ni sahihi kusema china anaimiliki marekani kutokana na wachina wengi kumiliki mahekali ya ardhi U.S.A na pia kupitia uwekezaji wa matajiri wakichina waliowekeza U.S.A ?
Hakuna kitu kama hicho. Wachina hawamiliki hata asilimia moja ya uchumi wa marekani ndani ya marekani ila marekani anamiliki zaidi ya asilimia 50 ya uchumi wa China.
 
Hii kitu tangu miaka ya 2000 wachambuzi wanasema Marekani itapitwa na China na Leo tupo 2022.
Mwaka 2011 kuna report ya IMF ilisema kwamba China itaipita USA kiuchumi 2016
2016: when China overtakes the US | Mark Weisbrot

Kuna nyingine ilisema China ingeipiku USA mwaka 2020 lakini Leo tupo 2022 na Ngoma bado mbichi.

Na sasa hivi reports zinasema China itaipiku Marekani 2030s au 2050.
Marekani itakuja kupitwa kiuchumi lakini sio Leo wala kesho ukizingatia Kwasasa uchumi wa China haukui kwa Kasi kama ulivyokua unakua mwanzoni Kwa double digit Kwa sasa unakua kwa 6-5 asilimia na kila siku Kasi inapungua,pia China inasumbuliwa na tatizo la uzee,rasilimali watu (watu hawazai Sana),viwanda vinahama vinahamia nchi nyingine km Vietnam nk sababu gharama ya uzalishaji inazidi kuongezeka (China).Tuombe Mungu atupe uhai tuone itakavyokua,lakini km trend ikiendelea hivi siioni China ikiipiku USA kiuchumi Karne hii.
 
usisahau ulimwengu ni pamoja na Asia , Afrika na Amerika , ntajie taifa lililoweza kutawala kote huko ukiacha Uingereza na Ufaransa ambao walitawala karibu nusu ya dunia , mtawala wa dunia kwenye historia ni USA tu
Kwani U.S.A anatawala nchi ngapi mfano Uingereza alivyotawala karibia nusu ya dunia ? Nitajie angalau mataifa 10 yaliyo chini ya amri ya U.S.A Kama ilvyokuwa kwa Muingereza, Ujerumani, Egypt,Roman Empire , Greece
 
Hii kitu tangu miaka ya 2000 wachambuzi wanasema Marekani itapitwa na China na Leo tupo 2022.
Mwaka 2011 kuna report ya IMF ilisema kwamba China itaipita USA kiuchumi 2016
2016: when China overtakes the US | Mark Weisbrot

Kuna nyingine ilisema China ingeipiku USA mwaka 2020 lakini Leo tupo 2022 na Ngoma bado mbichi.

Na sasa hivi reports zinasema China itaipiku Marekani 2030s au 2050.
Marekani itakuja kupitwa kiuchumi lakini sio Leo wala kesho ukizingatia Kwasasa uchumi wa China haukui kwa Kasi kama ulivyokua unakua mwanzoni Kwa double digit Kwa sasa unakua kwa 6-5 asilimia na kila siku Kasi inapungua,pia China inasumbuliwa na tatizo la uzee,rasilimali watu (watu hawazai Sana),viwanda vinahama vinahamia nchi nyingine km Vietnam nk sababu gharama ya uzalishaji inazidi kuongezeka (China).Tuombe Mungu atupe uhai tuone itakavyokua,lakini km trend ikiendelea hivi siioni China ikiipiku USA kiuchumi Karne hii.
China haijawahi kusema wataifikia U.S.A 2020 Bali target yao waliipachika jina Economic Mission/Vision 2050 hii ndio target waliopanga kumfikia U.S.A kiuchumi
 
Hakuna kitu kama hicho. Wachina hawamiliki hata asilimia moja ya uchumi wa marekani ndani ya marekani ila marekani anamiliki zaidi ya asilimia 50 ya uchumi wa China.
We jamaa unajua asilimia 50 kwe uchumi wa nchi ikoje? Yaani 50 ya uchumi wa China unashikiliwa na U.S.A Kama ingekuwa ni rahisi hivo Kama unavyosema Trump angeishaifanya china kuwa Kama Sirlanka . Fatilia vikwazo walivyowekeana Kati ya china na marekani wakati wa utawala wa Trump Nani aliumia na Nani ukuaji wake wa uchumi ulidorora Kati ya U.S.A na china .U.S.A alijuta kumuwekea Vikwazo vya kibiashara mchina
 
We jamaa unajua asilimia 50 kwe uchumi wa nchi ikoje? Yaani 50 ya uchumi wa China unashikiliwa na U.S.A Kama ingekuwa ni rahisi hivo Kama unavyosema Trump angeishaifanya china kuwa Kama Sirlanka . Fatilia vikwazo walivyowekeana Kati ya china na marekani wakati wa utawala wa Trump Nani aliumia na Nani ukuaji wake wa uchumi ulidorora Kati ya U.S.A na china .U.S.A alijuta kumuwekea Vikwazo vya kibiashara mchina
Ile ilikuwa issue ya trade balance, china walikuwa wananufaika zaidi na marekani kwasababu ya purchasing power ya US hivyo trump alitaka kupunguza deficit. Hapa tunaongelea suala la nani anamiliki uchumi wa mwenzake.
 
Hizo tawala zote ulizotaja ilikuwa ni race moja, kamwe dunia haiwezi kuwaliwa na race moja, lazima utaanguka tu. Unapozungumzia Marekani unazungumzia race zote za dunia, makabila na mataifa yote ya dunia, yaani wahaya, wahindi, wachina, wakorea, wasomali, wakerewe, waarabu, waajemi, nk. Kwa kifupi wamarekani ni watu wa makabila yote ya dunia. Yaani kwa lugha nyingine ni akili kutoka Kona zote za dunia zimeungana kutengeneza kitu kimoja. Kwenye jeshi la Marekani kuna hadi wachanga, kwa hiyo usilinganishe kabisa na hizo tawala zingine zilizopita, Marekani ni mkusanyiko wa dunia nzima hakuna mwenyeji pale.
Mbona Uingeleza aliweza?
 
China haijawahi kusema wataifikia U.S.A 2020 Bali target yao waliipachika jina Economic Mission/Vision 2050 hii ndio target waliopanga kumfikia U.S.A kiuchumi
Hakuna mahali nimesema China imesema itaifikia USA 2020 bali nimesema report za IMF ndo zilitabiri hivyo.

Kumbuka hata Japan miaka ya 1990s ilitabiriwa itaipiku USA miaka ya 2000s lakini mpaka Leo haijafanikiwa na imepitwa na Uchina. Kwa trend hii inayoenda sasa sidhani Kama China itaipiku Marekani kiuchumi. Tuombe uhai tuone itakavyokua.
 
Kwa vile umetumia takwimu za GDP kufanya comparison, na ukatumia kigezo hicho kudhania USA hawezi kupita,basi kupitia hicho hicho kigezo cha GDP nakuhakikishie after 20-30 years China atampiku USA kiuchumi ni swala la muda.

Miaka 30 iliyopita (1990),uchumi wa USA ulikuwa USD 5.9 trillion-huku Leo hii mwaka (2022) upo 22 Trillion sawa na ukuaji wa 269%.

Kwa miaka 30 (1990) China alikiwa ba GDP ya USD 360 Billion, Leo hii (2022) China na GDP ya 17.5 trillion sawa na ongezeko la 4762%.

Nakuachia homework, tumia ajili yako hapo ya kawaida kabisa,after 20-30 years to come nani atakuwa na uchumi mkubwa?

Usidhani viongozi wa USA ni wajinga kila siku kumpiga vikumbo China na vikwazo vya biashara,wanajua kinachoenda kutoka baada ya miaka kadhaa.
USA kabalance. GDP na per Capita vyote ni kubwa tofauti na mchina
 
Kwani U.S.A anatawala nchi ngapi mfano Uingereza alivyotawala karibia nusu ya dunia ? Nitajie angalau mataifa 10 yaliyo chini ya amri ya U.S.A Kama ilvyokuwa kwa Muingereza, Ujerumani, Egypt,Roman Empire , Greece
Kitendo cha kutumia Android, symbian, appstore ushatawaliwa na apa tulipo tunatawaliwa pia kupitia izo platform
 
Back
Top Bottom