Hivi kweli chadema iungane na tlp, nccr, cuf na vyama vingine?

STEIN

JF-Expert Member
Aug 29, 2010
1,770
553
Wana JF mimi nina maoni yafuatayo.

Nakubaliana na CHADEMA kutoungana chama chochote kwa sasa kutokana na ukweli kwamba:

1. Muungano wa CUF na chadema hauwezekani kwa sababu CUF wana muungano na CCM maanake hiyo isingeitwa kambi ya upinzani. Kama tulivyoona kwenye kampeni CUF walikuwa wanawaandama wagombea wengi wa CHADEMA, mfano UBUNGO, KARATU, KIGAMBONI, TARIME etc ile hali wanajua CHADEMA inanguvu kwenye hayo maeneo. Ukitaka CUF hawaitakii mema CHADEMA kumbuka kwenye mdahalo wa CUF swali general liliuzwa na M/Kiti wa cuf akaishia kumponda Slaa wa watu bure.

2. Vilevile Chadema hakiwezi kuungana na TLP kwa sababu mwenyekiti wa TLP alikuwa ampigia kampeni JK na alikuwa anfanya kazi ya kumponda Dr Slaa muda wote wa kampeni zake.

3. NCCR nao ni wale wale kwani mbatia anampango wa kumshitaki Mdee kwa sababu ya kumburuza kawe eti kwake kushinda kwa mdee ni kumchafua yeye.

4. Wakati ule wa kifo cha Wangwe TLP,NCCR,CUF waliungana kuimaliza chadema lakini ikashindikana kwani waTZ tunaiamini chadema.

5. La kushangaza zaidi ni pale Dr. Slaa katika bunge lililopita alipotaja mishahara ya wabunge na maslahi yao wakataka kumfukuza kwenye kambi ya upinza na baada ya wabunge wa chadema kusema tutatoka na kuwaambia wananchi wakaogopa.

HITIMISHO.
Katika mazingira hayo yote chadema isingeweza kuungana na hivyo vyama vingine hata kidogo.

MABADILIKO LAZIMA
 
Lakini mngesema kwanza, black and white sio kujiuma uma. Kumbukeni watz wanawasoma bado ili kujiridhisha kama kweli mnastahili dhamana ya kuongoza nchi hii.

Watz hawawezi wote kuwa Chadema, CCM au CUF management ya diversity inahitajika kuliko kujikubali zaidi nyinyi na kujiona bora mnajiongezea maadui isipokuwa lazima.
 
Ndugu songambele tunachotoa hapa ni mazingira ya kuungana na watu wa kuungana nao mimi naamini chadema itaendelea kufanya mambo mazuri kama ilivyokuwa toka mwaka 1995 hadi leo hasa kwa Dr. Slaa.

Jambo zuri kwa mTZ wa kawaida ni kufichua ikweli wa mambo na kuelimisha watu. Na si mambo yanayofanywa na chadema ni mazuri kwa watu wote watanzania tumegawanywa katika makundi na sasa watu wanatupia koza za wa TZ kututawala na mambo yaende wanavyotaka wao. mfano waulize Mwakyembe, Selelii, Sita na wengine watakueleza ukweli.

Sikweli mpaka chadema iungane na vyama vvingine ndo waTZ waikubali. mbona kura 2.2 miloni za urais waTZ walitoa kwa chadema bila muungano.
kila kitu kinawezekana.
Peeopppless pewer
 
Lakini mngesema kwanza, black and white sio kujiuma uma. Kumbukeni watz wanawasoma bado ili kujiridhisha kama kweli mnastahili dhamana ya kuongoza nchi hii.

Watz hawawezi wote kuwa Chadema, CCM au CUF management ya diversity inahitajika kuliko kujikubali zaidi nyinyi na kujiona bora mnajiongezea maadui isipokuwa lazima.
:clap2: HERI WEWE WASEMA :smile-big:

Tatizo ni kuwa, wanalazimisha Demokrasia isiyokuwa Demokrasia itawale. Na nina mashaka sana ikiwa watu wa CHADEMA wengi wao ni kama hawa tulio nao jamvini basi siku CHADEMA wakitawala tutarudi kwenye mfumo wa CHAMA KIMOJA na KUDUMISHA FIKRA ZA ..???:tape:
 
Issue hapa si kuunganisha vyama kwa nguvu ni tunaangalia ckama gani kina msimamo upi, embu niambie ni nchi gani vyama vinalazimisha viungane na vingine?

Kama unachama unataka ujiunge na chadema is simple chukua kadi ya chadema unakuwa umejiunga siyo tunaunganisha vyama inafika mahali watu wankeme ufisadi na wizi wa mali za uma wewe unasema hakuna kitu kama hicho. Au watu tunasema Elimu ya bure inawezekana wewe unasema haiwezekani huo muungano au kichekesho.

Embu kila chama kisimame chenyewe kitetee kilichotumwa na wananchi wake. CUF wana watu wake ifanye kazi jinsi watu wake wanavyotaka. Chadema ina watu wake ifanye kazi jinsi watu wake wanavyotaka utaona moja kwa moja nani anafanya kazi.

Si kusubiri watu wazunguke nchi nzima then uje kusema unataka kuungana nao we umebaki kawe kufanya kampeni chafu.

Peoples Power
 
Wana JF mimi nina maoni yafuatayo.

Nakubaliana na CHADEMA kutoungana chama chochote kwa sasa kutokana na ukweli kwamba:

1. Muungano wa CUF na chadema hauwezekani kwa sababu CUF wana muungano na CCM maanake hiyo isingeitwa kambi ya upinzani. Kama tulivyoona kwenye kampeni CUF walikuwa wanawaandama wagombea wengi wa CHADEMA, mfano UBUNGO, KARATU, KIGAMBONI, TARIME etc ile hali wanajua CHADEMA inanguvu kwenye hayo maeneo. Ukitaka CUF hawaitakii mema CHADEMA kumbuka kwenye mdahalo wa CUF swali general liliuzwa na M/Kiti wa cuf akaishia kumponda Slaa wa watu bure.

2. Vilevile Chadema hakiwezi kuungana na TLP kwa sababu mwenyekiti wa TLP alikuwa ampigia kampeni JK na alikuwa anfanya kazi ya kumponda Dr Slaa muda wote wa kampeni zake.

3. NCCR nao ni wale wale kwani mbatia anampango wa kumshitaki Mdee kwa sababu ya kumburuza kawe eti kwake kushinda kwa mdee ni kumchafua yeye.

4. Wakati ule wa kifo cha Wangwe TLP,NCCR,CUF waliungana kuimaliza chadema lakini ikashindikana kwani waTZ tunaiamini chadema.

5. La kushangaza zaidi ni pale Dr. Slaa katika bunge lililopita alipotaja mishahara ya wabunge na maslahi yao wakataka kumfukuza kwenye kambi ya upinza na baada ya wabunge wa chadema kusema tutatoka na kuwaambia wananchi wakaogopa.

HITIMISHO.
Katika mazingira hayo yote chadema isingeweza kuungana na hivyo vyama vingine hata kidogo.

MABADILIKO LAZIMA
Endeleaa
 
Nafikiri ndugu zantel umeridhika endela kusoma post zingine za wana JF

peoples power
 
Wana JF mimi nina maoni yafuatayo.

Nakubaliana na CHADEMA kutoungana chama chochote kwa sasa kutokana na ukweli kwamba:

1. Muungano wa CUF na chadema hauwezekani kwa sababu CUF wana muungano na CCM maanake hiyo isingeitwa kambi ya upinzani. Kama tulivyoona kwenye kampeni CUF walikuwa wanawaandama wagombea wengi wa CHADEMA, mfano UBUNGO, KARATU, KIGAMBONI, TARIME etc ile hali wanajua CHADEMA inanguvu kwenye hayo maeneo. Ukitaka CUF hawaitakii mema CHADEMA kumbuka kwenye mdahalo wa CUF swali general liliuzwa na M/Kiti wa cuf akaishia kumponda Slaa wa watu bure.

2. Vilevile Chadema hakiwezi kuungana na TLP kwa sababu mwenyekiti wa TLP alikuwa ampigia kampeni JK na alikuwa anfanya kazi ya kumponda Dr Slaa muda wote wa kampeni zake.

3. NCCR nao ni wale wale kwani mbatia anampango wa kumshitaki Mdee kwa sababu ya kumburuza kawe eti kwake kushinda kwa mdee ni kumchafua yeye.

4. Wakati ule wa kifo cha Wangwe TLP,NCCR,CUF waliungana kuimaliza chadema lakini ikashindikana kwani waTZ tunaiamini chadema.

5. La kushangaza zaidi ni pale Dr. Slaa katika bunge lililopita alipotaja mishahara ya wabunge na maslahi yao wakataka kumfukuza kwenye kambi ya upinza na baada ya wabunge wa chadema kusema tutatoka na kuwaambia wananchi wakaogopa.

HITIMISHO.
Katika mazingira hayo yote chadema isingeweza kuungana na hivyo vyama vingine hata kidogo.

MABADILIKO LAZIMA


Haswaaaaaaa!!!!!!!!!!!!! Stein umenena utafikiri ulikuwa kwenye akili yangu.
 
Lakini mngesema kwanza, black and white sio kujiuma uma. Kumbukeni watz wanawasoma bado ili kujiridhisha kama kweli mnastahili dhamana ya kuongoza nchi hii.

Watz hawawezi wote kuwa Chadema, CCM au CUF management ya diversity inahitajika kuliko kujikubali zaidi nyinyi na kujiona bora mnajiongezea maadui isipokuwa lazima.


Soma kwanza topic kabla hujakurupuka kujibu hoja. Inaelekea mwalimu wako alipata kazi kubwa.
 
Ndugu Mungi tuzidi kuwaelimisha waTZ maana kuna watu kazi ya kuwachanganya il tu WaTZ waendelee kuishi maisha ya tabu ile hali wachache wakineemeka.

Big up and peoples power.
 
:clap2: HERI WEWE WASEMA :smile-big:

Tatizo ni kuwa, wanalazimisha Demokrasia isiyokuwa Demokrasia itawale. Na nina mashaka sana ikiwa watu wa CHADEMA wengi wao ni kama hawa tulio nao jamvini basi siku CHADEMA wakitawala tutarudi kwenye mfumo wa CHAMA KIMOJA na KUDUMISHA FIKRA ZA ..???:tape:


Umesoma headings au na wewe ndiyo wale wale wa ndiyo mzee bila hata kujua nini kimesemwa? Mkubwa lakini kichwa kopo tupu!
 
Ndugu Mungi tuzidi kuwaelimisha waTZ maana kuna watu kazi ya kuwachanganya il tu WaTZ waendelee kuishi maisha ya tabu ile hali wachache wakineemeka.

Big up and peoples power.


Humu jamvini wapo watu wanaelewa ukweli lakini kwa sababu ni vibaraka, wanatekeleza wajibu wa wakubwa. wametumwa.
 
Chadema kuungana na hao wapuuzi ni sawa na mtu mzima kunya hadharani na watu wanaona.
 
Wana JF mimi nina maoni yafuatayo.

Nakubaliana na CHADEMA kutoungana chama chochote kwa sasa kutokana na ukweli kwamba:

1. Muungano wa CUF na chadema hauwezekani kwa sababu CUF wana muungano na CCM maanake hiyo isingeitwa kambi ya upinzani. Kama tulivyoona kwenye kampeni CUF walikuwa wanawaandama wagombea wengi wa CHADEMA, mfano UBUNGO, KARATU, KIGAMBONI, TARIME etc ile hali wanajua CHADEMA inanguvu kwenye hayo maeneo. Ukitaka CUF hawaitakii mema CHADEMA kumbuka kwenye mdahalo wa CUF swali general liliuzwa na M/Kiti wa cuf akaishia kumponda Slaa wa watu bure.

2. Vilevile Chadema hakiwezi kuungana na TLP kwa sababu mwenyekiti wa TLP alikuwa ampigia kampeni JK na alikuwa anfanya kazi ya kumponda Dr Slaa muda wote wa kampeni zake.

3. NCCR nao ni wale wale kwani mbatia anampango wa kumshitaki Mdee kwa sababu ya kumburuza kawe eti kwake kushinda kwa mdee ni kumchafua yeye.

4. Wakati ule wa kifo cha Wangwe TLP,NCCR,CUF waliungana kuimaliza chadema lakini ikashindikana kwani waTZ tunaiamini chadema.

5. La kushangaza zaidi ni pale Dr. Slaa katika bunge lililopita alipotaja mishahara ya wabunge na maslahi yao wakataka kumfukuza kwenye kambi ya upinza na baada ya wabunge wa chadema kusema tutatoka na kuwaambia wananchi wakaogopa.

HITIMISHO.
Katika mazingira hayo yote chadema isingeweza kuungana na hivyo vyama vingine hata kidogo.

MABADILIKO LAZIMA

Mhe. Stein,

Nakushukuru sana kwa kutambua kwamba CHADEMA ni consistent kwa kukataa kushirikiana na hivi vyama ktk kuunda upinzani bungeni. WaTz hawangewaelewa Chadema kama wangeomba kushirikiana na T.L.P. ya Augustino Mrema baada ya usanii alioufanya kumsifu J.K. na CCM pale Dodoma na baada ya mashambulizi aliyoyafanya dhidi ya Chadema ktk kampeni zake huko Vunjo za kuingia Bungeni.

Kuhusu CUF, sio tu kwamba Lipumba ameonyesha kujikomba kwa J.K., lakini chama chake sasa ni mshiriki wa CCM huko Zanzibar, na haileweki ktk Bunge la Jamhuri ya Muungano kitakuwa na msimamo gani. Hivyo vyama vingine, nadhani uongozi wa Chadema utaendelea kuvipima kimkakati, na pale inapowezekana ushirikiano wao utatambuliwa na kuombwa.

Ni jambo la faraja kwangu, kama Muasisi wa Chadema, kwamba juhudi hizi zitasaidia kusimika demokrasia nchini mwetu.
 
Uko sahihi Jerusale that is the fact na watanzania Halisi wanafahamu hivyo so tuzidi kusonga mbele kama kawaida.
 
CHADEMA kuungana na CUF, TLP, au hata na NCCR ni kuwarudisha watanzania kwenye mfumo wa chama kimoja, kwa sababu ya vyama hivyo kuwa sehemu ya chama tawala.

Ndiyo maana hata siku kikwete ametangazwa mshindi, Prof alimkabidhi Ilani yake, ambayo matokeo yake tumeyaona.

CHADEMA inaweza kuwa chama makini na kuwa chama kikuu cha upinzani bila kuungana na chama chochote, kwanza hata ilani zao hazilandani.

Vyama hivi vyote vilijitahidi kukichafua chadema kwa mbinu zote lakini bado CHADEMA imesimama imara, bila kutetereka.

Kumbukeni NCCR ya wakati ule wa Mrema. Walipochanganywa na CCM chama kilisambaratika, Harold Jafu kaenda kivyake, na Mrema kivyake.

Hii ndiyo CHADEMA, chama cha watanzania wazalendo, kimesheheni watu wa kila aina, wasomi, vijana na wazee. Hata mtoto mdogo ukimwuliza atakuambia ni CHADEMA ndiyo chama pekee inayoweza kuleta maendeleo ya kweli na kuboresha maisha ya wananchi wake.
 
Mhe. Stein,

Nakushukuru sana kwa kutambua kwamba CHADEMA ni consistent kwa kukataa kushirikiana na hivi vyama ktk kuunda upinzani bungeni. WaTz hawangewaelewa Chadema kama wangeomba kushirikiana na T.L.P. ya Augustino Mrema baada ya usanii alioufanya kumsifu J.K. na CCM pale Dodoma na baada ya mashambulizi aliyoyafanya dhidi ya Chadema ktk kampeni zake huko Vunjo za kuingia Bungeni.

Kuhusu CUF, sio tu kwamba Lipumba ameonyesha kujikomba kwa J.K., lakini chama chake sasa ni mshiriki wa CCM huko Zanzibar, na haileweki ktk Bunge la Jamhuri ya Muungano kitakuwa na msimamo gani. Hivyo vyama vingine, nadhani uongozi wa Chadema utaendelea kuvipima kimkakati, na pale inapowezekana ushirikiano wao utatambuliwa na kuombwa.

Ni jambo la faraja kwangu, kama Muasisi wa Chadema, kwamba juhudi hizi zitasaidia kusimika demokrasia nchini mwetu.

Heshima kwako Mzee Edwin Mtei,

Vipi kuhusu Zitto maana niliwahi kumsikia akimsifia Kikwete hata kwenye kampeni zake alijikita zaidi kwenye nafasi ya ubunge na kumsahau mgombea urais wa CHADEMA Dr W Slaa.
 
Back
Top Bottom