jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 783
- 169
nimepata taarifa anataka aichukue manzese yote watu wa manzese jiandaeni any day kuhamishwa tu kisarawe
Mambo mengine ni aibu kusema unatokea Tanzania.....anatumia millions of money kwenda kwao kuomba msaada wa kuja kujengewa vyoo vya shule
Mambo mengine ni aibu kusema unatokea Tanzania.....
anatumia millions of money kwenda kwao kuomba msaada wa kuja kujengewa vyoo vya shule
Ndugu zangu Walker Bush alikuja kuweka mambo sawa juu ya Uranium yetu basi. [ Millenium Challenge Account haiji bure] na huyu mkweree asipojifunza na kujua kuwa Marekani hawana rafiki isipokuwa kulinda strategic interests zao, basi angojee mpaka hapo watakapomuingiza choo cha wanawake kama walivyomfanyia Mobutu na Mubarak!! Kikwete should be careful otherwise these Yankees might put him in a "RAT HOLE" Je mnajua kuwa kwenye board ya Barrick Gold ndani humo BUSH yumo?
Yani mimi nina hasira sana na hawa mambwa wa Ulaya na Marekani kiukweli kabisa i HATE THESE KILLERS MORE THAN DEATH....hivi kweli Bush na watu wote alioua anakuja hapa eti kuangalia Saloon?!!! huu ujinga kabisa halafu eti anaongozana na Rais hivi Rais wa Tz mbona ni cheap namna hii?!!! hivi mkapa anaweza kwenda Ulaya akaongozana na hata yule ****** Cameruni?!!!