Hivi Kwanini

bintimacho

Member
Apr 25, 2008
41
1
JAMANI..
HIVI KWANINI WAAFRIKA TUKISOMA NJE TUNALIPISHWA FEES KARIBU MARA KUMI ZAIDI YA WENYE NCHI...KAMA UK

HALAFU WHEN IT COMES KUJA KUFANYA KAZI AFRIKA, MAKAMPUNI MENGI YATAMLIPA MWAFRIKA KIDOGO KULIKO MZUNGU with the policy that they come from a country with high cost of living.

i find it so unfair..jamani wana JF NISAIDIENI
 
JAMANI..
HIVI KWANINI WAAFRIKA TUKISOMA NJE TUNALIPISHWA FEES KARIBU MARA KUMI ZAIDI YA WENYE NCHI...KAMA UK

HALAFU WHEN IT COMES KUJA KUFANYA KAZI AFRIKA, MAKAMPUNI MENGI YATAMLIPA MWAFRIKA KIDOGO KULIKO MZUNGU with the policy that they come from a country with high cost of living.

i find it so unfair..jamani wana JF NISAIDIENI
Jibu lake ni rahisi sana.. hao wenyeji wazazi wao wamelipa kodi kwenye hizo nchi kwa maana nyingine wameshiriki ktk kuzijenga nchi na wewe pamoja na familia yako hamjachangia chechote ktk hizo nchi sasa kwa nini upewe usichostahili uoni kama huo ni unyonyaji?
kama unataka lipa shule maliza kusoma utafute kazi ulipe kodi halafu nafikiri watoto wako watakuwa nahaki ya kuuliza hilo swali lkni SI wewe.....
 
Back
Top Bottom