Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,967
- 14,713
Sijawahi kuelewa kwanini hii Wilaya mitandao ya sim inasumbua sana network, ukiwa na smartphone network kuipata hadi uende sehemu yenye mnara wa simu.
- Miaka ya nyuma nilikuwa natumia laini ya safaricom ya Kenya nilikuwa napata network na Internet ya uhakika.
- Ukija upande wa radio ndiyo kabisa yaani wananchi wa hii wilaya wanaskiliza radio za Kenya zaidi ya radio za Tanzania asilimia 90 wanaskiliza radio za nchi jirani Kenya
TCRA tatizo ni nini?
- Miaka ya nyuma nilikuwa natumia laini ya safaricom ya Kenya nilikuwa napata network na Internet ya uhakika.
- Ukija upande wa radio ndiyo kabisa yaani wananchi wa hii wilaya wanaskiliza radio za Kenya zaidi ya radio za Tanzania asilimia 90 wanaskiliza radio za nchi jirani Kenya
TCRA tatizo ni nini?