Hivi kwanini watumishi wa serikali kama TBS bado wanakua na kiburi cha kusumbua wananchi?

Saeed09

Member
Oct 19, 2018
29
18
Hivi kwanini watumishi wa serikali kama TBS bado wanakua na kiburi cha kusumbua wananchi wenye nia ya kuwafanya maendeleo ya nchi?

Ni muda gani inachukua kupata majibu ya bidhaa za chakula baada kukaguliwa kiwandani? Process hizi hazina muda maalumu wa kuwa zimefungwa? Maana kila siku njoo juma tatu au ijumaa. Wiki zinaenda watu tunalipa mishahara na kodi mamilioni. Mbona balaa hii?
 
Tafuta namba ya waziri husika uwashitakie huko mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ukiwashataki kwa waziri si unatafta uhasama na TBS? Kila siku utaambiwa bidhaa zako zina dhuru watumiaji. Yani ni shida hujui hata nini ufanye.

Kama TBS wanazidiwa kazi, kwanini wasiajiri watu zaidi? Vijana kibao wanamaliza universities kila mwaka hawana kazi. Wekeni watumishi wengi. Pia TBS kueni na uzalendo na nchi. Maendeleo gani haya ya njoo ijumaa, njoo juma tatu, njoo ijuma....barua ipo kwa mchapishaji, mchapishaji mjamzito, alie achiwa kazi yako yupo kariakoo. Mhusika yupo kwenye mkutano, njoo alkhamisi, mkaguzi anakuja ijumaa, ikifika ijumaa mkaguzi kaenda lindi, akirudi mkaguzi anaumwa, ngoja tutafte mwingine. Unauliza hili unajibiwa kitu off topic, njoo ijumaa....ikifika ijumaa, mweka saini hajafika hadi sasa...njoo juma tatu............

Watu kibao wanakutwa na haya kila siku ila hawasemi. Mue mmahuruma jamani TBS eh.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi kwanini watumishi wa serikali kama TBS bado wanakua na kiburi cha kusumbua wananchi wenye nia ya kuwafanya maendeleo ya nchi?

Ni muda gani inachukua kupata majibu ya bidhaa za chakula baada kukaguliwa kiwandani? Process hizi hazina muda maalumu wa kuwa zimefungwa? Maana kila siku njoo juma tatu au ijumaa. Wiki zinaenda watu tunalipa mishahara na kodi mamilioni. Mbona balaa hii?
TBS
TFDA
NIDA
TRA
TTCL
TBC
TRC
BRELA
SHIT
TANESCO
DAWASA
OFISI ZA MANISPAA
TOILET
OSHA
hawa nadhani wamesomea vyooni kwa kweli sio vyuoni.
 
Mkuu ukiwashataki kwa waziri si unatafta uhasama na TBS? Kila siku utaambiwa bidhaa zako zina dhuru watumiaji. Yani ni shida hujui hata nini ufanye.

Kama TBS wanazidiwa kazi, kwanini wasiajiri watu zaidi? Vijana kibao wanamaliza universities kila mwaka hawana kazi. Wekeni watumishi wengi. Pia TBS kueni na uzalendo na nchi. Maendeleo gani haya ya njoo ijumaa, njoo juma tatu, njoo ijuma....barua ipo kwa mchapishaji, mchapishaji mjamzito, alie achiwa kazi yako yupo kariakoo. Mhusika yupo kwenye mkutano, njoo alkhamisi, mkaguzi anakuja ijumaa, ikifika ijumaa mkaguzi kaenda lindi, akirudi mkaguzi anaumwa, ngoja tutafte mwingine. Unauliza hili unajibiwa kitu off topic, njoo ijumaa....ikifika ijumaa, mweka saini hajafika hadi sasa...njoo juma tatu............

Watu kibao wanakutwa na haya kila siku ila hawasemi. Mue mmahuruma jamani TBS eh.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa akili Kama zako naomba uendelee kuzungushwa miaka Mia... Taifa kuwa na raia sampuli yako ni kuwa na raia mizigo.Hambebeki.


Huo upuuzi hawezi fanyiwa raia wa Kenya, Uganda hata Zambia. Watanzania ni wapuuzi hawajui wapi pa kupata haki zao na ukiwaonesha wanakuja na excuse lukuki. Nimetoka kusema hapo juu kuwa tafuta namba ya waziri mtu anajibu eti waziri hawezi fanya lolote. Excuses kila muda. Eti bidhaa zangu zitakuwa hazina ubora Kama nikiongea na waziri.


Hakuna ofisi isiyokuwa na bosi. Kila unaeongea na ana mtu alieko juu yake. Ukiona hujaridhishwa na huduma za Huyo mtu wa mihuri nenda kwa bosi wake ili siku ukija kukiwasha uwe na chain nzima na ushahidi wa kuweka mezani.


Matanzamia acheni umbumbu




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom