Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Wadau kwa sasa nipo mkoa wa Mara moja kati ya maeneo niliotembelea ni Tarime, Musoma, Roryaa, Serengeti.
Nilichokigundua baada ya kukaa huku hawa watu ni watu wasiopenda dharau, ni watu wanaojiamini na wasiopenda kupelekeshwa kama gari bovuu.
Kama wenyewe wanavyosema hatupendi kupelekeshwa kama gali mbovuuu.
Nilichokigundua baada ya kukaa huku hawa watu ni watu wasiopenda dharau, ni watu wanaojiamini na wasiopenda kupelekeshwa kama gari bovuu.
Kama wenyewe wanavyosema hatupendi kupelekeshwa kama gali mbovuuu.