Hivi kwanini watu walionyimwa mwili uwa wana roho mbaya sana?

Kitendo cha kukosa mwili huwa kinawavuruga sana, muda wote huwa wanahisi kama wameonewa! Hivyo huwa full stress kila wakati ni sawa na watu wafupi huwa wanahisi kama wanadharauliwa kutokana na ufupi wao!!
 
I'm not sure about that but let me try to make it a little bit sensible.

Bila shaka utakuwa unaongelea watanzania.

First of all huwezi kujua ubaya au uzuri wa mtu mpaka mtu huyo auonyeshe wazi.

Pia kuna wembamba wa kuzaliwa genetically.
Na wembamba ambao sio genetically.

Wembamba mara nyingi unaweza sababishwa na ugumu wa maisha, kukosa chakula cha kueleweka, stress na umasikini.

Now kikawaida mtu akishakuwa na vitu hivyo hapo juu usitegemee awe na furaha au akuchekee usoni NO.
Bali atakuwa na tuseme wivu kwa asilimia chache huzuni na hasira muda wote which is why unawadhania jinsi unavyowadhania sasa hivi.

Unaweza kuta mtu ni mwembamba wa asili hivyo hata awe tajiri kama elon bado atabaki na mwili uleule wa mwanzo means hatonenepa.
Na atakuwa na furaha na upendo muda wote.
Hii inaprove wrong mada yako.

BUT kwa sababu jamii kubwa ya watanzania ni masikini na inapelekea kuwa wembamba hivyo kuwa na sifa nilizozitaja kule juu.
Inapelekea wewe na jamii nzima kuwageneralized kwamba watu wembamba wote ni watu wa design hiyo (hasira, chuki, roho mbaya wivu nk)
Kitu ambacho sio kweli.

Kingine ni hiki.
Kama nilivyosema kule juu kwamba huwezi kujua uzuri au ubaya wa mtu mpaka auonyeshe.
Na kwa sababu muonekano wa wembamba sio friendly na wala sio wa kuvutia sana basi automatically inapelekea jamii kudhani kwamba mtu huyo ni design ya wenye roho mbaya na sifa nilizozitaja kule juu.

Conclusion mada yako sio kweli kwamba watu wembamba wote ni wa design hiyo, yaani kisa mtu ni mwembamba basi from nowhere ana roho mbaya NO.

Lakini ni kweli watu wembamba kwa asilimia kadhaa ni wa design hiyo depending on the arranged exhibitions and facts above and not just spontaneously..
 
Kama kuna ka ukweli hivi

Hata kwa watoto ni bora mama wa kambo mnene kuliko mwembamba asilia weeee

Japo sio wote.

Wanene wengi wanakuwaga don't care.
 
Watu walionyimwa mwili uwa wana roho mbaya sana Wabinafsi mnoo kupita maelezo kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya isee watu walionyimwa mwili ni watu tofauti sana wana roho za ajabu sana yani sio Wivu, Chuki, Roho Mbaya, Wabinafsi, Wambea na wachonganishi
Kupitia Kagame nakuamini kabisa mleta mada.
 
🤔Je alie pendekeza tozo za mitandao ya cm kuongezwa{mobile Money}?:rolleyes::rolleyes: 😷
 
Mtu anakosaje mwili? Hebu fafanua hapo ili tumuulize huyo anaetoa hiyo miili kwanini wengine walinyimwa fursa ya kupata miili
 
Watu walionyimwa mwili uwa wana roho mbaya sana Wabinafsi mnoo kupita maelezo kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya isee watu walionyimwa mwili ni watu tofauti sana wana roho za ajabu sana yani sio Wivu, Chuki, Roho Mbaya, Wabinafsi, Wambea na wachonganishi
Kama jirani yule, kakakamaaa kwa roho mbaya
 
Back
Top Bottom