Hivi kwanini Watanzania huwa mnaanza na kiburi ila hatimaye mnaishia kuiga Wakenya

Wewe ni mjinga mjinga tu, kwani ze ze ni kitu gani. Jitu zima hovyo.
Kama ni kweli kwamba mnakichukia sana hamngekuwa mnaking'ang'ania kiasi hiki. Hebu tizama hii video ya Jiwe hapa chini, na kiingereza chake kibovu akisema, ''I am a politicians, I don't want to take this time as saying so many political'' .....''simple and clear is only congregation to you''. :confused:
 
Kama ni kweli kwamba mnakichukia sana hamngekuwa mnaking'ang'ania kiasi hiki. Hebu tizama hii video ya Jiwe hapa chini, na kiingereza chake kibovu akisema, ''I am a politicians, I don't want to take this time as saying so many political'' .....''simple and clear is only congregation to you''. :confused:


Huo ni ujinga.
Kwani kiingereza ni nini? Anaongea hicho kilugha vizuri tu. Sema yeye siyo mtumwa wa utamaduni ndiyo maana anaienzi lugha yake ya Kiswahili.

Ona sasa alivyokuwa akiongea akiwa Malawi.

 
Huo ni ujinga.
Kwani kiingereza ni nini? Anaongea hicho kilugha vizuri tu. Sema yeye siyo mtumwa wa utamaduni ndiyo maana anaienzi lugha yake ya Kiswahili.

Ona sasa alivyokuwa akiongea akiwa Malawi.

View attachment 1080878
Unasema kutumia kiingereza ni ujinga na utumwa ila mkulu wenu hapo anaking'ang'ania wakati kinamtesa kweli kweli badala angetumia tu kiswahili. Kama kiingereza chake kinaendelea kuboreka ina maana kwamba kuna mtu kule ikulu ameona umuhimu wa kumuajiria mzee tutor wa kiingereza. Shauri yako we komalia hapo na hicho kiingereza chako kinachoishia kwenye kupiga binja tu.
 
Unasema kutumia kiingereza ni ujinga na utumwa ila mkulu wenu hapo anaking'ang'ania wakati kinamtesa kweli kweli badala angetumia tu kiswahili. Kama kiingereza chake kinaendelea kuboreka ina maana kwamba kuna mtu kule ikulu ameona umuhimu wa kumuajiria mzee tutor wa kiingereza. Shauri yako we komalia hapo na hicho kiingereza chako kinachoishia kwenye kupiga binja tu.

Rais wetu atabaki kuwa juu. Kiingereza chake ni murua kabisa. mtu yeyote anyejua kiingereza atamuelewa tu anachoongea.

Binafsi sijui kuongea wala kuandika kiingereza, lkn sijawahi jutia hata siku moja. maisha yako murua kabisa. kipaombele changu ni kuchapa kazi kwa bidiii na kuongeza ujuzi basi. nikikosa kufanya hivyo, huwa najutia sana.
 
Unasema kutumia kiingereza ni ujinga na utumwa ila mkulu wenu hapo anaking'ang'ania wakati kinamtesa kweli kweli badala angetumia tu kiswahili. Kama kiingereza chake kinaendelea kuboreka ina maana kwamba kuna mtu kule ikulu ameona umuhimu wa kumuajiria mzee tutor wa kiingereza. Shauri yako we komalia hapo na hicho kiingereza chako kinachoishia kwenye kupiga binja tu.

Nimetazama hiyo video kwa kweli kingereza balaa, kinatesa kama hujajiandaa....yaani hata cha kuandikiwa bado kinatatiza, hebu angalia hapa jamaa anavyotiririka bila haja ya kusoma sehemu

 
Kama ni kweli kwamba mnakichukia sana hamngekuwa mnaking'ang'ania kiasi hiki. Hebu tizama hii video ya Jiwe hapa chini, na kiingereza chake kibovu akisema, ''I am a politicians, I don't want to take this time as saying so many political'' .....''simple and clear is only congregation to you''. :confused:
Na wewe nawe ni mjinga mjinga tu. Kwa hiyo kuongea hivyo ndio kuking'ang'ania.
 
Imekua kawaida kule Tanzania wao huchelewa kutekeleza chochote na kutuona ovyoo sisi tunaothubutu, hatimaye wanaishia kufanya mwisho mwisho tena kwa kuhaha..
Kwa mfano kitambulisho cha uraia walijifanya kukikataa enzi zile, lakini leo wanakimbizana kila mmoja akikitafuta awe nacho haswa baada ya tangazo la hivi majuzi kwamba laini za simu zitakatwa ikitokea hujachukuliwa alama za vidole ambayo pia masharti lazima uwe na kitambulisho aidha cha uraia au cha kura.
Tulipochangamkia kingereza kwa kuhakikisha Wakenya wamekua wajanja wa lugha ya kiswahili na kingereza zikiwemo zetu za asili, wakatuita watumwa wa ukoloni kisa tunaongea kingereza, na pia washamba kisa tunaongea lugha zetu za asili. Wakaibuka na dhana kwamba kujua kingereza sio kipimo cha elimu na kujifanya kutokujua umuhimu wa lugha ya kingereza kwa dunia ya leo ambapo mataifa yote yakiwemo China, Urusi n.k. yapo mbioni kuhakikisha raia wao wanazungumza kingereza, maana ndio lugha ya biashara duniani.
Leo hii ukienda pale Dar, shule zimefunguliwa nyingi za english medium zinafundisha watoto kingereza, wajanja wenye hela wamepeleka watoto wao huko ilhali walalahoi wameambiwa wakomae na uzalendo wa kiswahli kwenye shule za saint Kayumba mitaani.
Kwao matangazo ya biashara na ajira unakuta kwenye vigezo imeandikwa lazima anayeomba fursa au nafasi awe na uwezo wa kuzungumza na kuandika kingereza kwa ufasaha.
Kingereza huwatesa sana, unakuta kiongozi, waziri, mkurungezi, jaji n.k. hawezi kujieleza kwenye kongomano la kimataifa, anatetereka na kuyumbayumba ze ze ze
Kuna hili la kufungua soko la Afrika kwa mataifa yote ya Afrika kuungana na kuwa soko moja, wengine tumeungana na mikakati inaendelea kuratibisha, Tanzania imenuna na kawaida wamejilinda kwa kauli zao zile za kawaida, sitashangaa wakija mbio siku za usoni wakitafuta nafasi, ila ndio hivyo, haiwezekani ukabarikiwa na kila kitu, kuna watu wengine ability to analyse and process details huwa very slow....
moja ya vitu ambavyo mtanzania ujivuna sana popote duniani atuna (ukabira) ndomani lugha ya kingeleza ipo shuleni tu mtu wa mombasa uongea sana kiswahili mtu wa nairobi uongea sana kingereza apo utajuwa tu kwamba uyu wawapina uyu wa wapi lakini tanzania una weza ukafanya kazi na mtu mwaka 10 nausijuwe kabila lakini mbaka umulize mtu unatakiwa ujivunie na chako wewe mwenyewe umeadika uzi na lugha ya saint ayumba unajivunia kingereza ambacho ata uzi wake unge somwa na wachache tu
 
Nimetazama hiyo video kwa kweli kingereza balaa, kinatesa kama hujajiandaa....yaani hata cha kuandikiwa bado kinatatiza, hebu angalia hapa jamaa anavyotiririka bila haja ya kusoma sehemu

Watoto wa malikia right
 
Bora hivyo sasa umerudi kwenye kucheka Cheka na mipasho nafuu maana povu itakupa presha, ila ukweli unabaki pale, kutokujua kuongea kingereza kunawatesa sana.
Atakuwa punga uyu sijawahi ona mwanaume wa tabia kama zake.Jf imekuwa kama gazeti la udaku wa tz utakuw una shida ktk ubongo sure I tell you bro.
 
Nimetazama hiyo video kwa kweli kingereza balaa, kinatesa kama hujajiandaa....yaani hata cha kuandikiwa bado kinatatiza, hebu angalia hapa jamaa anavyotiririka bila haja ya kusoma sehemu

Ai smeli manki ova ia
 
Imekua kawaida kule Tanzania wao huchelewa kutekeleza chochote na kutuona ovyoo sisi tunaothubutu, hatimaye wanaishia kufanya mwisho mwisho tena kwa kuhaha.

Kwa mfano kitambulisho cha uraia walijifanya kukikataa enzi zile, lakini leo wanakimbizana kila mmoja akikitafuta awe nacho haswa baada ya tangazo la hivi majuzi kwamba laini za simu zitakatwa ikitokea hujachukuliwa alama za vidole ambayo pia masharti lazima uwe na kitambulisho aidha cha uraia au cha kura.

Tulipochangamkia kingereza kwa kuhakikisha Wakenya wamekua wajanja wa lugha ya kiswahili na kingereza zikiwemo zetu za asili, wakatuita watumwa wa ukoloni kisa tunaongea kingereza, na pia washamba kisa tunaongea lugha zetu za asili.

Wakaibuka na dhana kwamba kujua kingereza sio kipimo cha elimu na kujifanya kutokujua umuhimu wa lugha ya kingereza kwa dunia ya leo ambapo mataifa yote yakiwemo China, Urusi n.k. yapo mbioni kuhakikisha raia wao wanazungumza kingereza, maana ndio lugha ya biashara duniani.

Leo hii ukienda pale Dar, shule zimefunguliwa nyingi za english medium zinafundisha watoto kingereza, wajanja wenye hela wamepeleka watoto wao huko ilhali walalahoi wameambiwa wakomae na uzalendo wa kiswahli kwenye shule za saint Kayumba mitaani.

Kwao matangazo ya biashara na ajira unakuta kwenye vigezo imeandikwa lazima anayeomba fursa au nafasi awe na uwezo wa kuzungumza na kuandika kingereza kwa ufasaha.

Kingereza huwatesa sana, unakuta kiongozi, waziri, mkurungezi, jaji n.k. hawezi kujieleza kwenye kongomano la kimataifa, anatetereka na kuyumbayumba ze ze ze

Kuna hili la kufungua soko la Afrika kwa mataifa yote ya Afrika kuungana na kuwa soko moja, wengine tumeungana na mikakati inaendelea kuratibisha, Tanzania imenuna na kawaida wamejilinda kwa kauli zao zile za kawaida, sitashangaa wakija mbio siku za usoni wakitafuta nafasi, ila ndio hivyo, haiwezekani ukabarikiwa na kila kitu, kuna watu wengine ability to analyse and process details huwa very slow.



Halafu nyie wakenya tutoleeni upumbafu wenu mnapenda kujilinganisha linganisha na sisi watz nyie wachumba tu,kwenu vurugu tu mara mungiki mara al shabab,wale al shabab wanaowaua waua nyie kama sisimizi wangekuwa huku tz tungekuwa tumeshawafanya mabibi zetu
 
Wakenya wengi huja kukwapua mihela huko maana ushindani ni zero, nyie neno 'kujituma' ni mwiko kwenu, hivyo Mkenya akija anakua kama simba kwenye zizi la mifugo, mkao wa kula tu maana hamna ushindani na ndio maana serikali yenu imewalinda sana nyie kwa kufanya vibali kuwa ngumu kupatikana.
mnakuja kukwapua hela za madume ya kitanzania maana nyie ni mashoga.Mishoga yenu ya mombasa imejazana bongo inatinduliwa tu marinda sijui imeona huko kenya hamna madume.Halafu nyie wakenya mbona mna sura mbaya mbaya na meno kama ngiri yaani si wanawake si wanaume wote mna sura kama fisi
 
mnakuja kukwapua hela za madume ya kitanzania maana nyie ni mashoga.Mishoga yenu ya mombasa imejazana bongo inatinduliwa tu marinda sijui imeona huko kenya hamna madume.Halafu nyie wakenya mbona mna sura mbaya mbaya na meno kama ngiri yaani si wanawake si wanaume wote mna sura kama fisi
🙀 oh my!This one is appalling.An evil spirit from DRT [Demonic Republic of Tanganyika.
Where children and albinos are slaughtered like chicken😦 😦 😫
 
Imekua kawaida kule Tanzania wao huchelewa kutekeleza chochote na kutuona ovyoo sisi tunaothubutu, hatimaye wanaishia kufanya mwisho mwisho tena kwa kuhaha.
Kwa mfano kitambulisho cha uraia walijifanya kukikataa enzi zile, lakini leo wanakimbizana kila mmoja akikitafuta awe nacho haswa baada ya tangazo la hivi majuzi kwamba laini za simu zitakatwa ikitokea hujachukuliwa alama za vidole ambayo pia masharti lazima uwe na kitambulisho aidha cha uraia au cha kura.
Tulipochangamkia kingereza kwa kuhakikisha Wakenya wamekua wajanja wa lugha ya kiswahili na kingereza zikiwemo zetu za asili, wakatuita watumwa wa ukoloni kisa tunaongea kingereza, na pia washamba kisa tunaongea lugha zetu za asili.
Wakaibuka na dhana kwamba kujua kingereza sio kipimo cha elimu na kujifanya kutokujua umuhimu wa lugha ya kingereza kwa dunia ya leo ambapo mataifa yote yakiwemo China, Urusi n.k. yapo mbioni kuhakikisha raia wao wanazungumza kingereza, maana ndio lugha ya biashara duniani.
Leo hii ukienda pale Dar, shule zimefunguliwa nyingi za english medium zinafundisha watoto kingereza, wajanja wenye hela wamepeleka watoto wao huko ilhali walalahoi wameambiwa wakomae na uzalendo wa kiswahli kwenye shule za saint Kayumba mitaani.
Kwao matangazo ya biashara na ajira unakuta kwenye vigezo imeandikwa lazima anayeomba fursa au nafasi awe na uwezo wa kuzungumza na kuandika kingereza kwa ufasaha.
Kingereza huwatesa sana, unakuta kiongozi, waziri, mkurungezi, jaji n.k. hawezi kujieleza kwenye kongomano la kimataifa, anatetereka na kuyumbayumba ze ze ze
Kuna hili la kufungua soko la Afrika kwa mataifa yote ya Afrika kuungana na kuwa soko moja, wengine tumeungana na mikakati inaendelea kuratibisha, Tanzania imenuna na kawaida wamejilinda kwa kauli zao zile za kawaida, sitashangaa wakija mbio siku za usoni wakitafuta nafasi, ila ndio hivyo, haiwezekani ukabarikiwa na kila kitu, kuna watu wengine ability to analyse and process details huwa very slow.


Acha shobo fatilia mambo yako ya jirani ayakuhusu

Kutwa kuzungumzia Tanzania nyie kwenu amna mamb yakufanya
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom