MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,757
- 48,407
- Thread starter
- #41
Tunakumbana nacho form one, sio form four. I know bush kenyans mzee, hawajui english wa swahili.
Nilipitiwa, yeah mnakumbana nacho form one kama tayari mumeanza kuota fuzi, lugha kuielewa vizuri anza ukiwa mdogo.
Nafuu sasa kuna baadhi yenu mumetia akili na kuwapeleka watoto English medium, Watanzania wa kizazi cha kesho watakua bora, sio kama nyie mnaoteswa na lugha.