ERIK
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 623
- 314
Hivi kwanini watanzania huwa hatupendi kukutana na watu wapya? mfano unafikiria kuwa mfanya biashara mkubwa lakini mawazo yako unayo mwenyewe kichwani na ikitokea mtu ametaka kukufahamu unakataa hata kuwa rafiki yake wakati yeye anaweza kukusaidia hata mawazo ya kutimiza ndoto yako!!
unakuta msichana anataka kupata Mume mwema na anayemfaa alafu anashinda tu ndani, hata akisalimiwa DM haitikiii akibahatika kutoka ukikutana naye hajibu hata salamu end of the day analalamika hapati mtu anayemfaa sasa unategemea umpate vipi??
mimi nadhani tuanze kufahamiana hapa hapa JF tujenge marafiki wapya jamani..............
NB: nimeandika haya sababu mimi pia ni mmoja wa wahitaji wa marafiki wapya ila kwa faida
unakuta msichana anataka kupata Mume mwema na anayemfaa alafu anashinda tu ndani, hata akisalimiwa DM haitikiii akibahatika kutoka ukikutana naye hajibu hata salamu end of the day analalamika hapati mtu anayemfaa sasa unategemea umpate vipi??
mimi nadhani tuanze kufahamiana hapa hapa JF tujenge marafiki wapya jamani..............
NB: nimeandika haya sababu mimi pia ni mmoja wa wahitaji wa marafiki wapya ila kwa faida