Hivi kwanini wasichana wanawahi kusex kuliko wavulana?

JambaziSugu

JF-Expert Member
Mar 28, 2012
245
203
Habari wana jf. Eti kwanini wasichana wanawahi mapema kujiinvolve kwenye sexual affairs kuliko wavulana? Utakuta binti wa miaka 16 form 2 tu tayari kashayajua mapenzi. But most of boys inakuwaga love story tu, utakuta miaka 22 kamaliza high school ndo anaanza kuijua sex. Ni kwamba wavulana wanachelewa kujielewa ama mabinti ndo wanakimbilia mambo?
 
Kwan hao wasichana wanasex na akina nani? Baadhi ya wanaume watu wazima ndo wanavirubuni hivyo visichana na kuviingiza kwenye hayo mambo.
 
Wanawake wanabalehe mapema na hormone za kutamani zinaanza kufanya kazi mapema zaidi.
 
Halafu utakuta mschana anaonyesha dalili zote za kuta kitu kwa mvulana ila wavulana wengi(enzi za utoto lakini) hawajui! Wanaishia kushika vi-matiti na kukimbiakimbia tu!
 
Sasa wanasex na nani kama siyo wavulana.May be useme vijana wanaanza ngono mapema regardles gender,coz kuna some boys wanageuzana wenyewe kwa wenyewe ilhali theyr still wadogo sana.sasa i dont know what'll you say katika hilo?
 
Sasa wanasex na nani kama siyo wavulana.May be useme vijana wanaanza ngono mapema regardles gender,coz kuna some boys wanageuzana wenyewe kwa wenyewe ilhali theyr still wadogo sana.sasa i dont know what'll you say katika hilo?
Sikubaliani na point yako. Probably ntakuelewa ukiniambia mabinti wanakuwa wanaface temptation kwa waliowazidi umri. But siyo kwa agemates.
 
Kwa sababu wanashawishiwa...
Jaribu kumtafutia kijana wa miaka kumi na nne binti mwenzie uone kama hajaanza kupiga kazi
 
Wanaume wakubwa ndio wanaowaaribu mabinti wadogo kwa vishawishi vya chips kuku soda funga zege chukua nokia ya kuslide ya kuni-dipu!
Kwani wavulana hawashawiki na mashuga mamy?
Mi nadhani ni tabia tu ya wasichana kupenda vikubwa. Ukichunguza utakundua girls hawapendi guys wanaolingana in any means eg. Age, education, money,etc. This habit is a reason.
 
Sikubaliani na point yako. Probably ntakuelewa ukiniambia mabinti wanakuwa wanaface temptation kwa waliowazidi umri. But siyo kwa agemates.

tembea uone, dunia ya utandawaz hii akuna cha age mate wala nin wote wameoza tuu
 
Jamani ebu tuache kuwasingizia wanaume,kwani mbona mabibi zetu hawakuwa hivyo, basi tu dunia imeharibika lakini pia kwa sasa wazazi hawatumii vizuri nafasi zao kama wazazi eti wapo busy na mambo yao wanaacha watoto wanafanya wanavyotaka, akini pia uzungu umetawala sana.
 
Back
Top Bottom