leo nimebanwa na majukumu sikufuatilia mechi!nimerudi jion hii, nikaona ngoja niingie JF, jungu kuu.
Cha ajabu hakuna anayrzungumzia mechi ya Azam, malumbano ni Yanga na Simba!
Yaani timu inashiriki michusno ya kimatataifa, bado mnaziona Simba na Yanga pekee!
Azam mwaka huu inachukua ubingwa wa shirikishomuone aibu.
Cha ajabu hakuna anayrzungumzia mechi ya Azam, malumbano ni Yanga na Simba!
Yaani timu inashiriki michusno ya kimatataifa, bado mnaziona Simba na Yanga pekee!
Azam mwaka huu inachukua ubingwa wa shirikishomuone aibu.