Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,444
- 6,480
Mkosi kivipi tena? hebu funguka vizuriNi bahati kwao kwakua ame gain kitu, kwa mwanaume ni mkosi, na ame lose
Mkosi kivipi tena? hebu funguka vizuriNi bahati kwao kwakua ame gain kitu, kwa mwanaume ni mkosi, na ame lose
🤣 🤣 🤣 🤣 yajayo yanafurahisha sana kama ulioa ikawa mkosi kwako siyo kwa Wanaume wote, wengine wameoa ikawa baraka kwao.Ni bahati kwao kwakua ame gain kitu, kwa mwanaume ni mkosi, na ame lose
Wanaume muda mwingi tunakuwa kwenye majukumu kwaiyo pete huwa inaleta changamoto kwenye kukamilisha majukumu alafu ukiongeza na kiasi cha joto duniani yani ndo kabisa ukivaa joto lina ongezeka mwilini
Kwa mwanaume ndoa ni mzigo ndio maana sometimes huwa tunavua pete kabisa.Kwetu ndoa ni mafanikio
Niliwahi kuwa mpenda pete na cheni sana wakati wa ujana na shule.Kwanini hampendi mkuu?
Yes wanaringishia🤣🤣Hawezi amini pete ya ndoa kwa mwanamke ni fimbo kwa mwanamke mwenzake wala siyo kingine
Wanawake wanapenda kutambiana wenyewe kwa wenyewe?Hawezi amini pete ya ndoa kwa mwanamke ni fimbo kwa mwanamke mwenzake wala siyo kingine
Ndio wengi wanaona ndoa ni mafanikio Kama kupata first class degree 🤣🤣Wanawake wanapenda kutambiana wenyewe kwa wenyewe?