Hivi kwanini wanawake ukiwaomba namba za simu upendo unapungua

CUBICBOY

JF-Expert Member
Oct 29, 2012
306
223
Habarini wakuu nimekuwa na mazoea ya kujisocialize na wadada mbalimbali ku wasalimia name kupiga stories nao salsa kila ninayemuomba namba ya simu wanapunguza upendo kwangu na muda mwingi tukikutana Ananipotezea hakusalimii na ukiwapigia simu hawapokei hivi ni nini tatizo walilonalo hawa wadada wakuu
 
Mtumie elfu 50 kwa M-pesa kama hajakusalimia kaogee maji ya bahari.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Habarini wakuu nimekuwa na mazoea ya kujisocialize na wadada mbalimbali ku wasalimia name kupiga stories nao salsa kila ninayemuomba namba ya simu wanapunguza upendo kwangu na muda mwingi tukikutana Ananipotezea hakusalimii na ukiwapigia simu hawapokei hivi ni nini tatizo walilonalo hawa wadada wakuu
Ni kwa vile muda mwingi mazungumzo yako yanakuwa hayana lolote la maana...wewe una huo muda wa ku socialise na uko Hury lakini hao hawako kama wewe wengi inawezekana ni wafanyakazi sasa wanaboreka na endless calls na text zisizo na kichwa wala miguu kama hivi
Umekula
Unafanya nini sasa hivi
Nisalimie ulio nao
Nafurahi kusikia sauti yako nk nk
Kitu kingine kibaya sana pengine unachofanya ni kutojali muda na faragha ya mtu...kuna wakati mtu hajisikii kuchat wewe unataka mchat...kuna wakati mtu yupo na la azizi wake wewe unaleta interference kuna wakati mtu anataka kulala wewe ndio kwanza una mzuka wa kuchat...hapo lazima upotezewe
La mwisho la la muhimu sana sana...kama mtoto wa kiume lazima uwe na mipaka na wanawake la sivyo watakudharau sana
 
Nani anataka usumbufu wa mafuriko ya msg? Msg zenyewe mambo, mambo vipi,Mambo mengine, ishu vipi..... Hizi msg sijui kawafundisha Vin Diesel
Kama si hivo ni session ya maswali na majibu tu hobby yako nini umekula, umevaa nini, agrrr pyeee michosho tu, hapo credit ikiisha nakutext nimeishiwa credit nawe mkavuu kama kuni et poa wangu bye, wako mxyuuuu..... Bora tu kukunyima namba
 
Ni kwa vile muda mwingi mazungumzo yako yanakuwa hayana lolote la maana...wewe una huo muda wa ku socialise na uko Hury lakini hao hawako kama wewe wengi inawezekana ni wafanyakazi sasa wanaboreka na endless calls na text zisizo na kichwa wala miguu kama hivi
Umekula
Unafanya nini sasa hivi
Nisalimie ulio nao
Nafurahi kusikia sauti yako nk nk
Kitu kingine kibaya sana pengine unachofanya ni kutojali muda na faragha ya mtu...kuna wakati mtu hajisikii kuchat wewe unataka mchat...kuna wakati mtu yupo na la azizi wake wewe unaleta interference kuna wakati mtu anataka kulala wewe ndio kwanza una mzuka wa kuchat...hapo lazima upotezewe
La mwisho la la muhimu sana sana...kama mtoto wa kiume lazima uwe na mipaka na wanawake la sivyo watakudharau sana
Walau hata chat ianze na...... Hello have a credit, mambo vipi :D

CC13MX247 Imethibitishwa
Umepokea Tsh50,000 kutoka kwa......
Tarehe 27/4/16 saa 6:00PM
Salio lako la M-PESA ni Tsh72508
 
Nani anataka usumbufu wa mafuriko ya msg? Msg zenyewe mambo, mambo vipi,Mambo mengine, ishu vipi..... Hizi msg sijui kawafundisha Vin Diesel
Kama si hivo ni session ya maswali na majibu tu hobby yako nini umekula, umevaa nini, agrrr pyeee michosho tu, hapo credit ikiisha nakutext nimeishiwa credit nawe mkavuu kama kuni et poa wangu bye, wako mxyuuuu..... Bora tu kukunyima namba
Ha haaa na kweli bora nikunyime kama mtu hajiongezi.
 
Ni kwa vile muda mwingi mazungumzo yako yanakuwa hayana lolote la maana...wewe una huo muda wa ku socialise na uko Hury lakini hao hawako kama wewe wengi inawezekana ni wafanyakazi sasa wanaboreka na endless calls na text zisizo na kichwa wala miguu kama hivi
Umekula
Unafanya nini sasa hivi
Nisalimie ulio nao
Nafurahi kusikia sauti yako nk nk
Kitu kingine kibaya sana pengine unachofanya ni kutojali muda na faragha ya mtu...kuna wakati mtu hajisikii kuchat wewe unataka mchat...kuna wakati mtu yupo na la azizi wake wewe unaleta interference kuna wakati mtu anataka kulala wewe ndio kwanza una mzuka wa kuchat...hapo lazima upotezewe
La mwisho la la muhimu sana sana...kama mtoto wa kiume lazima uwe na mipaka na wanawake la sivyo watakudharau sana
HAHAHAHAHALEO UMENICHEKESHA SANA JANA USIKU KUNA KATOTO KA SHULE ZA KATA TENA LA 7 B ,KALINIOMBA NAMBA YA SIMU HUKO FEISBUKU , NIKAKAULIZA YA NINI KANANIAMBIA ETI KATANIAMBIA NIKIKAPA SIMU TEHETEHE


NIKATAFUTA LINE YA HALOTEL AMBAYO SIITUMII KWA SASA NIKAKAPA .....



MAONGEZI YAKAWA:

ASANTE DASA USIDHANI KAMA NITAKUSUMBUA NITAKUHESHIMU SANA.............

NIKATULIA KIDOGO IKAJA:KWANI UPO NA NANI HAPO? KAMA UPO PEKE YAKO NAOMBA NIKUPIGIE...NIKAITOA HIYO LINE HEWANI........ NILIKUWA NAWATCH MOVIE NIKAONA KANANILETEA USHUZIUSHUZI TU.... KAKARUD FB NA KUBEMBELEZA KANAOMBAKASIKIE SAUTI YANGU KWAMBA KANAPENDA SANA PICHA ZANGU KAMENIPENDA .............................

NIKABLOCK FASTA PAMBAV
 
Back
Top Bottom