Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,743
- 10,073
just curious, habari zenu wadau!
nimejiuliza sana hili suala la muda mrefu! nimeona sasa ni bora nililete hapa tujadiliane!
imekuwa kama kasumba hivi kwa wanaume kulilia wanawake wenye bikra!! kila leo hawakosi mpaka wengine wanatangaza dau za mamilioni kununua bikra hizo!
sasa mi binafsi ninachojiuliza, kwanini wanawake wenyewe huwa hawatafuti vidume wenye bikra?
je, wanahisi utendaji kazi utakuwa chini ama vipi?
je, wanawake wanapokutana na wanaume wenye ubikra, hali huwa inakuaje?
ni hayo tu waungwana!
nimejiuliza sana hili suala la muda mrefu! nimeona sasa ni bora nililete hapa tujadiliane!
imekuwa kama kasumba hivi kwa wanaume kulilia wanawake wenye bikra!! kila leo hawakosi mpaka wengine wanatangaza dau za mamilioni kununua bikra hizo!
sasa mi binafsi ninachojiuliza, kwanini wanawake wenyewe huwa hawatafuti vidume wenye bikra?
je, wanahisi utendaji kazi utakuwa chini ama vipi?
je, wanawake wanapokutana na wanaume wenye ubikra, hali huwa inakuaje?
ni hayo tu waungwana!