0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,159
- 11,092
Mara nyingi makundi haya matatu huguswa mara kibao:-Ila JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu,tena utakugusa kwa namna mbaya
Haya,leo zamu ya wafupi 😂😂😂
Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers 🤣
1.singo maza
2.Vijana wenye umri mkubwa ambao bado wanaishi kwa wazazi