Hivi kwanini wanaume wa Dar haswa wa mjini kati (Posta) wanavaa visuruali njiwa?

squirtinator

JF-Expert Member
Sep 20, 2015
2,765
4,174
Habari zenu.
Kwa kweli mimi ambaye natumia muda mwingi mkoani, nikija Dar na kwenda mjini yaani maeneo ya Posta, ambako inasemekana ndio shughuli za kitaifa hufanyika, wanaume wengi sana huku wanavaa visuruali vinabana alafu NJIWA, najiuliza ni fasheni, ushamba wangu au ufala wao?
Yaani mpaka soksi zao zinaonekana freshi tu ila hawana wasiwasi. Na vitambi vyao juu.
 
Habari zenu.
Kwa kweli mimi ambaye natumia muda mwingi mkoani, nikija Dar na kwenda mjini yaani maeneo ya Posta, ambako inasemekana ndio shughuli za kitaifa hufanyika, wanaume wengi sana huku wanavaa visuruali vinabana alafu NJIWA, najiuliza ni fasheni, ushamba wangu au ufala wao?
Yaani mpaka soksi zao zinaonekana freshi tu ila hawana wasiwasi. Na vitambi vyao juu.
Mambo ya mjini hayo mkuu
 
ulitaka wavae je,kila mtu ana uhuru wa kuvaa atakavyo ilimradi asiende tofauti na maadili ya kiafrika.au ulitaka avae bwanga?
 
Ni fashion tu mkuu mbona uko mikoani mnashinda na kitu wanaita Msuli wakati mnavuna korosho
 
Nionyeshe picha ya diamond akiwa na suruali njiwa nikutumie elfu 10
1542422324260.png
 
Back
Top Bottom