lipo lipo tu, kila kukicha kuoa na kuacha, kazaa na huyu mara yule kesho amemwacha, anasema hajapata/hatapata mwanamke aliekuwa amepangiwa na muumba zaidi ya nyamayao, mschwee! halafu cjui kwanini watu msiachane kistaarabu hata kesho mkikutana japo msalimiane/mbadilishane mawazo, kuna kusaidiana hapa na pale, mie bfrnd wangu alieniingiza kwenye huu ulimwengu ni mtu ambae tunaheshiminiana sana, mtu ambae anaweza kunisadia/kunishauri hapa na pale, hayo ndio maisha, sio mmevuana magagulo leo mnaonana kama panya na paka.
Sasa mbona na wewe unamkandia?? Au nasoma vibaya....hivi yule aliyeku-slap ni yupi?