Usiwe unajifungia ndani ya box lzm uwe na mawazo Pana ,Aisee!
Haya.
Ukaanndik:- Kwa hiyo msipotuheshimu zala zenu hazina maana
Nikawa najibu hoja yako hii kukuonyesha jinsi ambavyo sala ya mwanamme inaweza isiwe na maana kabisa
Nikaeleza hivi imagine wewe ni MKE Una mume ukamzalia mume watoto kumbe wale watoto siyo WA mumeo licha ya kuwa umewazaa ukiwa naye mume wako
Mume kawaida atajitahidi kumuomba Mungu awabariki watoto wake kumbe siyo WA damu yake , Unategemea Mungu atawabariki ?
Hapo ndiyo maana ya maombi ya mwanaume kuzuiliwa
Sasa unakurupuka eti Niko nje ya maada