chongoe
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,126
- 2,717
Habari wakuu,
Nimekaa nikajiuliza nikawaza nikaona kwa upande fulani sisi watu wa mafia kuna sehemu tumekosea maana huku hakuna maendeleo yoyote na hali inazidi kuwa mbaya hakuna usafiri wa uhakika ambao hata Serikali hauna mpango wa kutuletea usafiri wa uhakika.
Yaani tupo tupo tu kama hatutakiwi au tunajilazimisha au CCM ndio wanatufanya hivi maana hata kiongozi yeyote ukimuuliza kuhusu usafiri wa uhakika hawana majibu au mnataka tuangamie ndio mtupe pole bora uchaguzi ufike tutaongea kwa meno hata huo usafiri tunaotumia nauli wanapanga wenye boti ilimradi na sie tumo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa nikajiuliza nikawaza nikaona kwa upande fulani sisi watu wa mafia kuna sehemu tumekosea maana huku hakuna maendeleo yoyote na hali inazidi kuwa mbaya hakuna usafiri wa uhakika ambao hata Serikali hauna mpango wa kutuletea usafiri wa uhakika.
Yaani tupo tupo tu kama hatutakiwi au tunajilazimisha au CCM ndio wanatufanya hivi maana hata kiongozi yeyote ukimuuliza kuhusu usafiri wa uhakika hawana majibu au mnataka tuangamie ndio mtupe pole bora uchaguzi ufike tutaongea kwa meno hata huo usafiri tunaotumia nauli wanapanga wenye boti ilimradi na sie tumo.
Sent using Jamii Forums mobile app