Hivi kwanini wananchi wanyonge wa Mafia tumetelekezwa?

chongoe

JF-Expert Member
Mar 22, 2019
1,116
2,620
Habari wakuu,

Nimekaa nikajiuliza nikawaza nikaona kwa upande fulani sisi watu wa mafia kuna sehemu tumekosea maana huku hakuna maendeleo yoyote na hali inazidi kuwa mbaya hakuna usafiri wa uhakika ambao hata Serikali hauna mpango wa kutuletea usafiri wa uhakika.

Yaani tupo tupo tu kama hatutakiwi au tunajilazimisha au CCM ndio wanatufanya hivi maana hata kiongozi yeyote ukimuuliza kuhusu usafiri wa uhakika hawana majibu au mnataka tuangamie ndio mtupe pole bora uchaguzi ufike tutaongea kwa meno hata huo usafiri tunaotumia nauli wanapanga wenye boti ilimradi na sie tumo.


FB_IMG_15853817751249757.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwalimu Gaddafi umeanza kampeni mkuu
Habari wakuu,

Nimekaa nikajiuliza nikawaza nikaona kwa upande fulani sisi watu wa mafia kuna sehemu tumekosea maana huku hakuna maendeleo yoyote na hali inazidi kuwa mbaya hakuna usafiri wa uhakika ambao hata Serikali hauna mpango wa kutuletea usafiri wa uhakika.

Yaani tupo tupo tu kama hatutakiwi au tunajilazimisha au CCM ndio wanatufanya hivi maana hata kiongozi yeyote ukimuuliza kuhusu usafiri wa uhakika hawana majibu au mnataka tuangamie ndio mtupe pole bora uchaguzi ufike tutaongea kwa meno hata huo usafiri tunaotumia nauli wanapanga wenye boti ilimradi na sie tumo.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Nimekaa nikajiuliza nikawaza nikaona kwa upande fulani sisi watu wa mafia kuna sehemu tumekosea maana huku hakuna maendeleo yoyote na hali inazidi kuwa mbaya hakuna usafiri wa uhakika ambao hata Serikali hauna mpango wa kutuletea usafiri wa uhakika.

Yaani tupo tupo tu kama hatutakiwi au tunajilazimisha au CCM ndio wanatufanya hivi maana hata kiongozi yeyote ukimuuliza kuhusu usafiri wa uhakika hawana majibu au mnataka tuangamie ndio mtupe pole bora uchaguzi ufike tutaongea kwa meno hata huo usafiri tunaotumia nauli wanapanga wenye boti ilimradi na sie tumo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wananchi wa Mafia hamuna akili..... Hamujielewi.
1.kimbau alikua mbunge miaka 30,sababu ya kutojitambua kwenu
2.Buji akaja kajipigia mahelaa miaka 15
3.Dau nae namuona hana dalili ya kuondoka.
Chagueni mbunge mzawa, Chagueni mbunge msomi, Chagueni upinzani....
Acheni uchawi vile vile..... Zikija boti classic munaziroga....
Kama kikwete alikaa madarakani miaka 10 mukashindwa kumtumia sahauni kabisa kuhusu maendeleo.
Mafia kuna mahoteli mengi na uvuvi..... Jiulizeni ushuru unaenda wapi?..... Madiwani wenu wameishia la saba vichwa box wamejaa usanii tu.
........ Viongozi wa serikali Mafia, wakuu wa wilaya na wakurugenzi hawawezi watetea, kwa nini?,..... Sababu wanalipwa per diem na tiketi za ndege ndefu sana..... Ambayo kama hizo nauli zingesema zinunue boti mungekua na Azam fast ferries kama 10 hivi.
Kikubwa jitambueni kama raia.
Pelekeni watoto shule achaneni kurithishana mashamba ya minazi, kupasa dagaa na kuchokoa kaa bwejuu na jibondo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Nimekaa nikajiuliza nikawaza nikaona kwa upande fulani sisi watu wa mafia kuna sehemu tumekosea maana huku hakuna maendeleo yoyote na hali inazidi kuwa mbaya hakuna usafiri wa uhakika ambao hata Serikali hauna mpango wa kutuletea usafiri wa uhakika.

Yaani tupo tupo tu kama hatutakiwi au tunajilazimisha au CCM ndio wanatufanya hivi maana hata kiongozi yeyote ukimuuliza kuhusu usafiri wa uhakika hawana majibu au mnataka tuangamie ndio mtupe pole bora uchaguzi ufike tutaongea kwa meno hata huo usafiri tunaotumia nauli wanapanga wenye boti ilimradi na sie tumo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ardhi ufukweni inapatikana? Bei gani ekari moja nataka kuwekeza Mafia.
 
Lazima mtelekezwe,si mmekubali wenyewe kutukanwa tusi zuli la WANYONGE.
 
Mafia ni kama Guantanamo, ni kisiwa kwa kazi maalumu... umemsahau yule nani Jumbe sijui.

Nchi ni kubwa sana hii, chongoe una akili fanya ukimbie huko.... kulialia haitokusaidia.
 
We jamaa si ulitaka kujitumbukiza baharini wewe? hope Mungu amesaidia na huko salama sasa.
 
Usafiri kule ni usafiri kafiri,hakika watu hawa wametelekezwa,baharia murua sana na saaafi,ila kadhia kwa watu wa kawaida kuja Dar/Pwani ni maisha ya movie tosha huko Hollywood
 

Attachments

  • IMG_20191110_000522_9.jpg
    IMG_20191110_000522_9.jpg
    154.5 KB · Views: 1
  • IMG_20191111_072823_3.jpg
    IMG_20191111_072823_3.jpg
    138.2 KB · Views: 1
  • IMG_20191110_042302_1.jpg
    IMG_20191110_042302_1.jpg
    126.4 KB · Views: 1
  • IMG_20191110_063730_2.jpg
    IMG_20191110_063730_2.jpg
    239 KB · Views: 1
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom