Gachuma jr
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 839
- 450
Nimekuelewa mkuuMafia hamjielewi hakuna atakayeleta maendeleo huko! Wanajua hata mkiteseka mtaendelea kuwachagua! Jaribuni kuwapiga chini ccm hata awamu moja muone mtakavyoletewa maendeleo! Jifunzeni kwa watu wa Kigoma!
Sent using Jamii Forums mobile app