Hahaha shong'nyem, nazi sikuweka kabisa.Malcom Lumumba, inawezekana msichana kapika wali wa nazi halafu wewe umepika wali wa mafuta.
hivi wewe ahjussi ulikuna nazi?
hahahahahahaaaaaa usisahau kutafuta mkungu kwa ajili ya kukaushia maji.
Very trueMichuzi wa nyama wa kwenye chungu una ladha si ya dunia hii, ukijaribu sufuria utaweka pembeni
Hahahahah braza, wali wa mkaani utabaki kuwa noma tu.Mimi naamini kwenye upishi wa wali ni kama inatengemea na mikono ya mtu, ukipika kwa rice cooker wali unatoka vizuri sana, unakuwa kama vile umejichambua chambua hivi unakuwa mtaam, ukikutana na demu wa Tanga au Mpemba aiseee anakupikia kitu kitamuuu, hadi ufikiria labla ni mpishi wa The Gleneagles Hotel.....
Kutokujua kupika mbali, ila muhimu uelewe kila aina ya jiko ina ladha yake ya chakula. pia kila aina ya chombo unachopikia kinaleta ladha tofauti. Sufuria, chungu, mwiko wa mbao, chuma....Wasalaam,
Mimi bwana huwa napikia wali kwenye Rice Cooker lakini juzi nimeenda kumtembelea dada moja ni Mzenji wali wake kwenye mkaa na wakati unapikwa nikasikia harufu ile nzuri nzuri kabisa na wali wake ulivyotoka aisee niliona kabisa utofauti na ule wa Jiko la mzungu. Sasa wadau ili wali uwe vizuri ni lazima nifanye mabadiriko au mimi ndiyo sijui kupika ???
Always chakula kitamu hakitaki pupa.ndo maana mm huwa napenda kupika wali kwenye jiko LA mkaa coz unaiva taratibu. Yaani unachambuka vizuri. Nakuwa nimetoa kitu wali na sio ubwabwa.Jiko la mkaa, chungu vinaongeza ladha ya chakula. Maharage au mchuzi uliopikwa kwenye chungu hauwezi kufananisha na kitu cha sufuria.
Nafikiri namna ya nishati ya joto inavyopenya na kuivisha chakula, kuna tofauti sana kati ya jiko la gesi, rice coocker zinatofautiana japo vyakula vyote vitaiva.
Ndio maana mkaa utatumia muda mrefu kulinganisha na umeme na hapo ndio siri ya mahanjumati ilipolala.
Imani tu
Gas cooker ipo vizuri piaWasalaam,
Mimi bwana huwa napikia wali kwenye Rice Cooker lakini juzi nimeenda kumtembelea dada moja ni Mzenji wali wake kwenye mkaa na wakati unapikwa nikasikia harufu ile nzuri nzuri kabisa na wali wake ulivyotoka aisee niliona kabisa utofauti na ule wa Jiko la mzungu. Sasa wadau ili wali uwe vizuri ni lazima nifanye mabadiriko au mimi ndiyo sijui kupika ???
Sa kwa viungo vyote hivyo si bora upike tu pilau ilaa tuseme ukweli rice cooker nminakuwaga kama inababuaa mchele ukiiva unakuwa kama spnge flani yaan kuna kitu kinakosekana smae applied to jiko la umeme ilaa mkaa ni balaa
MATANDU.Raha ya wali ukipika upunguze moto uweke makaa juu ya mfuniko
Ingawa sijui kupika, ila nina uhakika siku nikiingia JIKONI rasmi Chakula nitakachokipika kitakuwa cha maana sana
Juu MATANDU, chini UKOKO.Mkuu ule wa mkaa ndiyo naukubali hadi kesho yani....
Hakika KiongoziMsosi wowote ulopikwa kwa mkaa au kuni huwa na ladha nzuri kuliko nishati za mzungu sijui kwa nn...
Naam KiongoziAcha kabisa......
Wali wa kupikwa kwa mkaa una utamu wake maridadi.
Yale maukoko ya juu (mahaba) huwa yanaraha sana kuyagegeda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulijuaje?