Hivi kwanini wali wa mkaa ni mtamu kuliko ule wa 'rice cooker'?

Aaaah mkuu, nioe kisa kupikiwa ???
Japo wanawake wa Zanzibar ni very loyal khaa!
Sijui ni dini au wanafundwaje aisee, mbona wako tofauti na huku Bara ??
Njoo tukupatie dada umtunze... oa ule kwako. Wenzio tunakula hivyo kila leo yenye uhai
 
Njoo tukupatie dada umtunze... oa ule kwako. Wenzio tunakula hivyo kila leo yenye uhai
Aaaah ninyi mna kasumba ya kubagua sisi Wakristo, tena mkisikia ni kutoka Bara.
Nasema hivi kwasababu yalishawahi kunikuta huko kwenu mkuu....
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mk
Wasalaam,
Mimi bwana huwa napikia wali kwenye Rice Cooker lakini juzi nimeenda kumtembelea dada moja ni Mzenji wali wake kwenye mkaa na wakati unapikwa nikasikia harufu ile nzuri nzuri kabisa na wali wake ulivyotoka aisee niliona kabisa utofauti na ule wa Jiko la mzungu. Sasa wadau ili wali uwe vizuri ni lazima nifanye mabadiriko au mimi ndiyo sijui kupika ???
MKUU hapo Ni Mapishi yako tu
 

Similar Discussions

15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom