amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,991
Sehemu zingine nafikiri mnafuata majija na dili za mjini.Sasa leo ijumaa ,nipeni ushauri nile wali Nazi + maharage Nazi kwa Mama Saidi
au niende kula biriani kwa mustapha
au Mandi pale Lumumba
Ama pilau la butiama
Mizuka km yote ya kula mchele Leo
Butiama hakuna pilau zuri.
Nenda kwa Mustapha