kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,163
- 2,223
Hivi kuendesha pikipiki uwa kunapunguza uwezo wa mtu kutafakari mambo? Hawa bodaboda akili yao inashangaza sana. Yani ikitokea kasababisha ajali wenzake watamshambulia huyo mwingine asiyekuwa na hatia.
Mfano leo nimesikia kwamba bodaboda akiwa amebeba abiria kwa style ya mishikaki kaingia kwenye njia ya mwendo kasi na gari la mwendo kasi likiwa kasi likamgonga na kusababisha vifo vya abiria na derevea bodaboa akiwa hoi akakimbizwa hospitali.
Inadaiwa wenzake wakaanza kulishambulia kwa mawe gari la mwendo kasi abiria wakiwa bado wako ndani.
Sasa nikawaza aliyekuwa na kosa hapo nani? Kwanza huyu kaingia kwenye njia isiyokuwa yake, pili alikuwa kapandisha watu mishikaki na tatu mle kwenye gari la mwendo kasi kuna abiria ambao wao si madereva wala hawakuwa wakiendesha hilo basi lililogonga hiyo bodaboda.
Katika kutafakari hayo nikakumbuka makundi ya waendesha pikipiki ya Marekani mfano the Outlaws ambapo FBI inachukulia haya makundi kama makundi ya kiharifu. Kwanza wa motto za ajabu eti "We are the people that our parents warned us about"
Mfano leo nimesikia kwamba bodaboda akiwa amebeba abiria kwa style ya mishikaki kaingia kwenye njia ya mwendo kasi na gari la mwendo kasi likiwa kasi likamgonga na kusababisha vifo vya abiria na derevea bodaboa akiwa hoi akakimbizwa hospitali.
Inadaiwa wenzake wakaanza kulishambulia kwa mawe gari la mwendo kasi abiria wakiwa bado wako ndani.
Sasa nikawaza aliyekuwa na kosa hapo nani? Kwanza huyu kaingia kwenye njia isiyokuwa yake, pili alikuwa kapandisha watu mishikaki na tatu mle kwenye gari la mwendo kasi kuna abiria ambao wao si madereva wala hawakuwa wakiendesha hilo basi lililogonga hiyo bodaboda.
Katika kutafakari hayo nikakumbuka makundi ya waendesha pikipiki ya Marekani mfano the Outlaws ambapo FBI inachukulia haya makundi kama makundi ya kiharifu. Kwanza wa motto za ajabu eti "We are the people that our parents warned us about"