Hivi kwanini wachina wengi hapa nchini wana majina ya kikristo

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,671
40,912
Wakuu,

Sijui ni coincidence ila kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la raia wenye asili ya uchina wanaotumia majina ya kikristo, mfano Alex, Michael badala yale tuliyozoea mfano ping pong xin xin na mengineyo.

Ikumbukwe kwamba wakristo huko uchina haizidi asilimia 2, dini kuu ikiwa Chinese folk religion.

Ndio kusema hiyo 2% ndio hao tunaokutana hapa??

Au idadi ya wakristo imeongezeka huko uchinani?

Au wanaficha their true identity ( naamini hili kwa asilimia kubwa)

Au wameamua kutumia majina ambayo yatakuwa rahisi kwetu kuyatumi ( inawezekana pia)

Bado nataka kujua ni kwanini wachina wengi hapa nchini wanatumia majina ya kikristo?

Karibuni.
 
Ni kweli hata mm niliwahi kufanya nao kazi cha kushangaza majina yao ni ya kawaida mfano John, Daniel, Robert nilivouliza nikaambiwa wanaficha majina yao ya asili. Ila sababu sijapewa mpaka leo.
 
kama umechunguza wachina wa hongkong wengi wana majina ya kikristo mfano james chan,joshua wang,paulo chang etc,cause hongkong lilikuwa koloni la waingereza na wameadopt utamaduni wa kiingereza kuliko wa kichina,lakini china mainland ni ngumu mno kukuta mzawa ana jina la kizungu
 
Wakuu,

Sijui ni coincidence ila kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la raia wenye asili ya uchina wanaotumia majina ya kikristo, mfano Alex, Michael badala yale tuliyozoea mfano ping pong xin xin na mengineyo.

Ikumbukwe kwamba wakristo huko uchina haizidi asilimia 2, dini kuu ikiwa Chinese folk religion.

Ndio kusema hiyo 2% ndio hao tunaokutana hapa??

Au idadi ya wakristo imeongezeka huko uchinani?

Au wanaficha their true identity ( naamini hili kwa asilimia kubwa)

Au wameamua kutumia majina ambayo yatakuwa rahisi kwetu kuyatumi ( inawezekana pia)

Bado nataka kujua ni kwanini wachina wengi hapa nchini wanatumia majina ya kikristo?

Karibuni.
Wanajipa majina yale kwa ajili ya kurahisha kuwasiliana maana akikutajia majina yao kichina utashindwa kutamka
 
kama umechunguza wachina wa hongkong wengi wana majina ya kikristo mfano james chan,joshua wang,paulo chang etc,cause hongkong lilikuwa koloni la waingereza na wameadopt utamaduni wa kiingereza kuliko wa kichina,lakini china mainland ni ngumu mno kukuta mzawa ana jina la kizungu
Uko sahihi mkuu, ila hawa ninaowazungumzia hapa ni kutoka mainland.
 
Ni kweli hata mm niliwahi kufanya nao kazi cha kushangaza majina yao ni ya kawaida mfano John, Daniel, Robert nilivouliza nikaambiwa wanaficha majina yao ya asili. Ila sababu sijapewa mpaka leo.
mkuu hayo pia yalikuwa mawazo yangu hapo awali.
 
Tangu wajikite kwenye biashara waliamua majina yote wabadilishe ili yawe rahisi kwa washirika wao kibiashara, badiliko hili liko mpaka China kwenyewe na waliamua kutumia lugha ya kiingereza ambayo sisi ni haramu.
China ndiyo yenye tenda nyingi toka marekani na ulaya kuwatengenezea bidhaa, hivyo lazima mawasiliano yawe rahisi.
 
Ni kweli hata mm niliwahi kufanya nao kazi cha kushangaza majina yao ni ya kawaida mfano John, Daniel, Robert nilivouliza nikaambiwa wanaficha majina yao ya asili. Ila sababu sijapewa mpaka leo.
Majina yao magumu ukikosea kutamka linaweza kuwa tusi.
 
Wakuu,

Sijui ni coincidence ila kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la raia wenye asili ya uchina wanaotumia majina ya kikristo, mfano Alex, Michael badala yale tuliyozoea mfano ping pong xin xin na mengineyo.

Ikumbukwe kwamba wakristo huko uchina haizidi asilimia 2, dini kuu ikiwa Chinese folk religion.

Ndio kusema hiyo 2% ndio hao tunaokutana hapa??

Au idadi ya wakristo imeongezeka huko uchinani?

Au wanaficha their true identity ( naamini hili kwa asilimia kubwa)

Au wameamua kutumia majina ambayo yatakuwa rahisi kwetu kuyatumi ( inawezekana pia)

Bado nataka kujua ni kwanini wachina wengi hapa nchini wanatumia majina ya kikristo?

Karibuni.

wameisha ijua tanzania ukiwa na majina ya kikristo hapa tanzania mambo yako yanakonyookea hasa serikalini acha hao wachina kuna waislamu wamejipa majina ya kikristo tangu wapo shule leo wapo mbali sana kimaisha emannuel lakini muislamu
 
Back
Top Bottom