Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 345
Maeneo yaliyolengwa sana sana ni yale yaliyokuwa sparsely populated; mikoa ya kilimanjaro, Bukoba ilikuwa densely populated; lengo la vijiji vya ujamaa ilikuwa kuwakusanya watu waliokuwa wanakaa mbali mbali na kwa uchache uchache waje kwenye eneo moja ili iwe rahisi kuwapelekea huduma za kijamii na pia iwe rahisi kuendeleza vijiji ili vije kuwa miji baadae iwapo mapinduzi ya kilimo yangefanikiwa na kupelekea uanzishwaji wa viwanda n.k;
Excellent explanation!!!!!
Ni sababu hiyo hiyo iliyofanya kusiwe na vijiji vya ujamaa Unyakyusani, yaani wilaya za Rungwe na Kyela!!