Mwene chungu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 916
- 751
Salute.
Natumai nyote mu wazima na mwaendelea vizuri vema na ujenzi wa taifa.
Ndugu zangu mim sina misingi ya chama chochote,naweza kujiita silent activist (mwanaharakati wa kimyakimya).
Nimekuwa mfuatiliaji wa mijadala ya kisiasa,kijamii,kiuchumi nk mitandaoni na hata kwenye platform zingine.
Nimegundua kitu kimoja Vijana wa CCM wanashindwa kwa kiwango kikubwa kupambana na wenzao kihoja.Badala yake wanatumia muda mwingi sana kushambulia MTU binafsi badala ya hoja.
Kwa mfano neno "Nyumbu" huwa kwao wanaamini ni tusi dhidi ya CDM,sasa zijui jina la mnyama ukimwita MTU linakuwa tusi? Basi kama ndivyo Simba wangelikimbia jina hilo.CHADEMA wao huwaita ninyi kama mu vijana wa "Lumumba"kuanzia hapa tu unaweza kupata logic yangu.
Matusi huwa ni Mali ya wachache,Hoja ni Mali ya wengi.
Ukiona unatukana na kutumia mabavu(nguvu)badala ya hoja,ujue huna hoja....Mnakumbka Mzee walioba kupigwa? Yote Yale ni matokeo ya kushindwa kihoja.Na vijana hawa wa CDM wamekuwa wapole(wanaonewa sana) na wataraatibu sana hasa kipindi hiki cha sheria ya mitandaoni.fuatlieni!!!...
Ushauri-Vijana wa CCM acheni kutegemea vitu ambavyo si vya kudumu,someni vitabu,na taarifa mbalimbali juu ya hoja na mambo duniani.Kwa mfano mdogo tu MTU anaibuka Leo kuwa Nyarandu amefukuzwa ccm ati kwa sababu alisafirisha Twiga.
Lakini ukweli Twiga wamesafrishwa November 2010,NA Wakati huo Nyarundu alikuwa Naibu Waziri wa Wizara nyingine kbsa.Amekuja kuwa Waziri wa Utalii na maliasili January 2014. Ni ni mfano tu,nenda huko mtandaoni uone vijana wa ccm mnavyondaganya!..
PLS ACHENI HOJA ZIPAMBANE,ZITUKANE,ZIGOMBANE,NA HII NDIYO DEBATE lakini siyo kuimpersonate watu individually, kwani watu wanaondoka na kubadlika lakini hoja hudumu milele!
Natumai nyote mu wazima na mwaendelea vizuri vema na ujenzi wa taifa.
Ndugu zangu mim sina misingi ya chama chochote,naweza kujiita silent activist (mwanaharakati wa kimyakimya).
Nimekuwa mfuatiliaji wa mijadala ya kisiasa,kijamii,kiuchumi nk mitandaoni na hata kwenye platform zingine.
Nimegundua kitu kimoja Vijana wa CCM wanashindwa kwa kiwango kikubwa kupambana na wenzao kihoja.Badala yake wanatumia muda mwingi sana kushambulia MTU binafsi badala ya hoja.
Kwa mfano neno "Nyumbu" huwa kwao wanaamini ni tusi dhidi ya CDM,sasa zijui jina la mnyama ukimwita MTU linakuwa tusi? Basi kama ndivyo Simba wangelikimbia jina hilo.CHADEMA wao huwaita ninyi kama mu vijana wa "Lumumba"kuanzia hapa tu unaweza kupata logic yangu.
Matusi huwa ni Mali ya wachache,Hoja ni Mali ya wengi.
Ukiona unatukana na kutumia mabavu(nguvu)badala ya hoja,ujue huna hoja....Mnakumbka Mzee walioba kupigwa? Yote Yale ni matokeo ya kushindwa kihoja.Na vijana hawa wa CDM wamekuwa wapole(wanaonewa sana) na wataraatibu sana hasa kipindi hiki cha sheria ya mitandaoni.fuatlieni!!!...
Ushauri-Vijana wa CCM acheni kutegemea vitu ambavyo si vya kudumu,someni vitabu,na taarifa mbalimbali juu ya hoja na mambo duniani.Kwa mfano mdogo tu MTU anaibuka Leo kuwa Nyarandu amefukuzwa ccm ati kwa sababu alisafirisha Twiga.
Lakini ukweli Twiga wamesafrishwa November 2010,NA Wakati huo Nyarundu alikuwa Naibu Waziri wa Wizara nyingine kbsa.Amekuja kuwa Waziri wa Utalii na maliasili January 2014. Ni ni mfano tu,nenda huko mtandaoni uone vijana wa ccm mnavyondaganya!..
PLS ACHENI HOJA ZIPAMBANE,ZITUKANE,ZIGOMBANE,NA HII NDIYO DEBATE lakini siyo kuimpersonate watu individually, kwani watu wanaondoka na kubadlika lakini hoja hudumu milele!