SalahDaim
Member
- Dec 24, 2017
- 8
- 0
Habari za muda huu ndugu wana JF, natumai mnaendelea vyema na siku kuu. Nije kwenye hoja hii yangu ya Leo
Kwa hali ilivyo sasa inaonekana upinzani hawana hoja za msingi za kushindana na CCM.
Mimi kwa maono yangu nilikua naona ni vyema wakaungana kwa pamoja kufufua suala la katiba mpya, jambo ambalo litawapa credibility kubwa kwenye jamii na hata mashirika mengi ya kiraia.
Labda kwa mawazo yenu mnaonaje hili. ?
Nawasilisha
Kwa hali ilivyo sasa inaonekana upinzani hawana hoja za msingi za kushindana na CCM.
Mimi kwa maono yangu nilikua naona ni vyema wakaungana kwa pamoja kufufua suala la katiba mpya, jambo ambalo litawapa credibility kubwa kwenye jamii na hata mashirika mengi ya kiraia.
Labda kwa mawazo yenu mnaonaje hili. ?
Nawasilisha