ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Hivi kuokoka mnakuchukuliaje?kuna changamoto zake and it takes time.
Kwahiyo mtu hawezi akabadilika na kuacha tabia zake mbaya...Ni kweli..kama ameshindwa kubadilika katika uchumba ujue ndoa itakuwa ni maumivu kila siku
Hahah kuna ukweli,watu hubadilika piaWatu wanabadilika, ata ao unaowaona watulivu, watakatifu wanaeza badilika pia......
Uezi Amini shetani nae alikua ni malaika wa Mungu!