Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
<br /><font color="#800080"><i>mi nataka kujua kila kitu..<br />
mshahara, nyumba, benk account<br />
magari yote, nyumba ndogo ngapi unazo<br />
ilitugawane sawa kwa sawa... etc</i></font>
<br />
Teh! Teh! Teh! Unanivunja mbavu afro! Kujua kipato ni muhim kwa kweli, coz jamaa anaweza kuwa jambazi ukaja dhurika. Mke hapaswi kufichwa mambo hayo!