Mtyela Kasanda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 554
- 818
Napata taarifa kwamba BRT phase 1 ilitumia zaidi ya dola milioni 160, sasa kwanini UDART wasingetengeneza monorail tu kutoka Mbezi mpaka Kariakoo ambayo gharama yake ni ndogo zaidi? Hela ambayo ingebaki ingetumika kuongezea umeme utakaotumika kwenye monorail.
Budget ya Hitachi Monorail, reference Daegu Monorail LINE3 South Korea
Budget ya Hitachi Monorail, reference Daegu Monorail LINE3 South Korea