it’s like catch me if you canThe game changer...
What about Russia Hoex??its not trump ni wingi wa masenator wa gop kwenye senet ndio uliomuokoa. the same it happened during clinton impeachment trial
... hata kwenye Congress ni wingi wa Dems ndio uliomsulubu tena kwa hila tu.its not trump ni wingi wa masenator wa gop kwenye senet ndio uliomuokoa. the same it happened during clinton impeachment trial
mkuu hiyo imekosa ushahidi wa 1*1.the same to clinton case. je alifanya ngono kweli ndani ya oval office?.What about Russia Hoex??
yeah ndio hivyo sasa... hata kwenye Congress ni wingi wa Dems ndio uliomsulubu tena kwa hila tu.
Russia Investigation ametumia ofisi kuficha udhaifu wake kupitia Bill Barr, kimsingi Trump alikuwa na Makosa isipokuwa sheria ya Marekani hairuhusu Rais aliyepo madarakani kushtakiwa kisheria, bali hutumia taratibu za Kisiasa kupitia Congress, Na hatimaye Senate, lakini kuna mgawanyiko mkubwa kwenye Utawala, GOP wana Ikulu na Senate na hivyo ndio wanavitumia kuhakikisha kuwa Trump ashitakiwi, Mwisho wa siku wananchi ndio watakaoamua, Japo hii haiondoei nguvu ya kesi nyingi zinamzokabili Trump katika mahakama mbalimbali, Slama yake itakuwa akishinda Urais kwa muhula wa pili, Lakini akishindwa anaweza kuchezea jela.What about Russia Hoex??
Hujui. Clinton Senate ilikuwa na Republicans wengi ila hawakuona sababu ya kumtoaits not trump ni wingi wa masenator wa gop kwenye senet ndio uliomuokoa. the same it happened during clinton impeachment trial
Hakuna cha Bill Barr,the all Russia issue was a Hoex from the beginning..Robert Mueller hakuona any evidence kwamba Trump ali collude na Russia,hata wote waliokuwa kwenye compagn team ya Trump hakuna hata mmoja aliyekutwa na Tuhuma.Hata Director of National inteligence James Clapper,Alisema walishajua there was no Collusion since Feb 2016..Russia Investigation ametumia ofisi kuficha udhaifu wake kupitia Bill Barr, kimsingi Trump alikuwa na Makosa isipokuwa sheria ya Marekani hairuhusu Rais aliyepo madarakani kushtakiwa kisheria, bali hutumia taratibu za Kisiasa kupitia Congress, Na hatimaye Senate, lakini kuna mgawanyiko mkubwa kwenye Utawala, GOP wana Ikulu na Senate na hivyo ndio wanavitumia kuhakikisha kuwa Trump ashitakiwi, Mwisho wa siku wananchi ndio watakaoamua, Japo hii haiondoei nguvu ya kesi nyingi zinamzokabili Trump katika mahakama mbalimbali, Slama yake itakuwa akishinda Urais kwa muhula wa pili, Lakini akishindwa anaweza kuchezea jela.
Robert Mueller aliona evidence isipokuwa sheria za DOJ haziruhusu Rais aliyeko madarakani kushitakiwa,summary ya Barr imeficha kila kitu.Hakuna cha Bill Barr,the all Russia issue was a Hoex from the beginning..Robert Mueller hakuona any evidence kwamba Trump ali collude na Russia,hata wote waliokuwa kwenye compagn team ya Trump hakuna hata mmoja aliyekutwa na Tuhuma.Hata Director of National inteligence James Clapper,Alisema walishajua there was no Collusion since Feb 2016..
Hoex = Hoax, I can just presume.Hakuna cha Bill Barr,the all Russia issue was a Hoex from the beginning..Robert Mueller hakuona any evidence kwamba Trump ali collude na Russia,hata wote waliokuwa kwenye compagn team ya Trump hakuna hata mmoja aliyekutwa na Tuhuma.Hata Director of National inteligence James Clapper,Alisema walishajua there was no Collusion since Feb 2016..
Trump con man hana akili kama unavyofikiri anazo. Ukitaka kuona jinsi alivyo mjinga na ukakasi gani anawatia wamerekani angalia jinsi anavyohandle corona utapata majibu yote kwamba huyu bwana anapenda kutukuzwa mwamzo mwisho
Baba yake mtu anakujaje hapa? Amesema angalia anavyohandle the corona crisis. Kwa akili zangu mimi nataraji mtu atajibu kwa hoja na siyo matusi yasiyo hata na sababu ya msingi.
Kufanya ngono ofisini what has it to do na uwajibikaji wa mtu kwa kuweka strategies,kuzisimamia,kukuza uchumi etc.mkuu hiyo imekosa ushahidi wa 1*1.the same to clinton case. je alifanya ngono kweli ndani ya oval office?.
Exactly, a conman of the highest order.it’s like catch me if you can
Tungekupa taifa kama Marekani uwe rais, unge handle vipi Corona? Hebu tupe kifupi tuone kama una akili hizo unazodai ama laTrump con man hana akili kama unavyofikiri anazo. Ukitaka kuona jinsi alivyo mjinga na ukakasi gani anawatia wamerekani angalia jinsi anavyohandle corona utapata majibu yote kwamba huyu bwana anapenda kutukuzwa mwamzo mwisho