Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,599
Yani ukienda Wizarani au mkoani au wilayani au manispaa kuna watumushi wengi kuliko hata vitengo vinavyoongozwa na wao?
Wizara ya Afya mmezidi, kwanini kazi za utawala zifanywe na madaktari bingwa?!
Wizara ya Afya mmezidi, kwanini kazi za utawala zifanywe na madaktari bingwa?!