ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,004
- 9,077
Hata mimi najua mkuu tatizo ni die hard fun yan napapenda kupitiliza 😅😅Kiukweli kabisa... Mboka hamna kitu aisee.
Hata mimi najua mkuu tatizo ni die hard fun yan napapenda kupitiliza 😅😅Kiukweli kabisa... Mboka hamna kitu aisee.
Hayo ambayo yanaitwa majiji kama hayaizidi Tanga basi hayafai kuitwa majiji.Una chuki binafsi na Tanga ...
Africa nzima kuna ma jiji hata robo ya Tanga hayafikii
Tanga huwezi fanya kitu bila kushirikisha ushirikina, sawa tu na wana Mbeya. Kule Mbeya kila baada ya nyumba moja kuna kanisa la kisanii na bado wanaongoza kwa uchawi hapa TanzaniaKwa nini sio Moshi??
Tanga nijiji la hovyo.Harbour city(JIJI LA BANDARI,),TANGA.
TANGA KUNA HARBOURS CLUB,ni mahali pazuti kabisa,ni club iko kando ya Bandari,ni mahali pazuri.Nafikiri bado ipo.
Umepata mwenyeji wa kukuzungusha maeneo yote hapo Tanga.Tanga nijiji la hovyo.
Ninae ingawa muda wangu wakutoka nijmos jioni na jpil, leo naenda huko r/laskazoneUmepata mwenyeji wa kukuzungusha maeneo yote hapo Tanga.
Harbour city.Jiji la Bandari.Tanga nijiji la hovyo.
Ni Raska-zone sio r/laskazone.Ninae ingawa muda wangu wakutoka nijmos jioni na jpil, leo naenda huko r/laskazone
Mkuu hio R/L nilikuwa sina uhakika kama ni laska au Raska ndio maana nikaweka R/L. Ntakuwepo hayo maeneo jioni yaleo.Ni Raska-zone sio r/laskazone.
Labda tungejua vigezo wanavyotumia kuipa miji hadhi ya jiji!Tanga sawa na Tabora tu.
Bora Dodoma kuriko Tanga, kwanza dodoma ina hadhi ya jiji sana na iko nyuma kidogo ya arusha baada ya Dar&MwanzaWenyewe Wanapambana Mkoa Yaani Jiji Ligawanywe
Kuwe Na Mkoa Wa Tanga, Na Wengine Waitwe Mkoa Wa Usambara.
Nakukumbusha Usishangae Tanga, Umefika Dodoma Lini Nalo Ni Jiji
Morogoro Yenye Hotels Nyingi Nzuri Inasubiri
Dodoma Ambayo Haiwezi Kupokea Wageni Wa Kimataifa
Ni Jiji
Tatizo la Tanga uchawi mwingi unadumaza maendeleo hukoHili jiji halina hadhi yakuitwa jiji kabisa, nikushusha hadhi ya majiji.
Tanga Ni nyoko
Umechoka kuishi? Tukiamua kukusomea huchukui round. Omba radhi haraka!
Ushongo Beach ClubNilichogundua wengi wanaoiponda TANGA hawaijui vizuri au wanapenda vurugu kama za Dar tena uswahilini
Tanga nimezunguka sana pale kipindi naishi pangani nilikua nafika TANGA mjini kununua bidhaa,, pia nilikua nikimtembelea Mpwa wangu aliyekua anasoma Raskazone (mitaa hii imetulia kama Oysterbay na ina majengo ya kibabe)
Pia kuna Hotel moja hivi ipo Ushongo huko inaitwa Club Beach Resort nilishawahi kwenda kufanya kazi flani ya siku mbili ipo pembezoni mwa bahari na ni hotel ya kitalii ufukweni mwa hotel kuna Bots na zile BODA BODA za kwenye Maji za kutosha)
Tanga ni sehemu nzuri sana ya kuishi kama una hela
NARUDIA TENA....KAMA UNA HELA NI SEHEMU MOJA NZURI SANA YA KUISHI
KAMA NI MTAFUTAJI KAMA MIMI TANGA HAPAKUFAI LABDA UWE UNATEGEMEA MSHAHARA
Ngoja nitafuta hela nikaishi TANGA RAHA
Kuna hotel nyingi sana za kitalii na zina hadhi hapa Dar sijawahi kuona na mazingira yake ni mazuri na tulivuUshongo Beach Club